ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huu uwanja utakua kama wa Songwe.... international jina ila flights ni local π
Dodoma ni Mji Mkuu flights zitakuja tuu.Kwani Abuja hakuna flights?Huu uwanja utakua kama wa Songwe.... international jina ila flights ni local π
Miradi ya Mwanza ni ya kuboost uchumi na kufungua kanda ya ziwa, daraja la jpm, meli ya MV Mwanza hapa kazi tu, SGR, via duct, masoko na stendi huo wote ni mnyororo wa kuinua uchumi, nyie arusha endeleeni kujengewa viwanja na maukumbi ya maoneshoπππππππAngalia Jamaa wa Mwanza wanavyojifariji na Sgr πππ
View: https://youtu.be/3474L5f8V-g?si=PNbbMN-ANvCwH5YW
Sgr ndio uchumi kwenye ushoroba wa kati na nchi za maziwa makuuAngalia Jamaa wa Mwanza wanavyojifariji na Sgr πππ
View: https://youtu.be/3474L5f8V-g?si=PNbbMN-ANvCwH5YW
Dodoma naona ndio imepata master plan sisi tulishazingua miaka kumi iliyopita lakini hakuna linalofanyika kuendana na master plan, hii nchi ngumu sana.
Ingekuwa hivyo basi Morogoro na Mbeya zingekuwa na huo uchumi maana tofauti ni speed ila reli ni zile zile π€£π€£Sgr ndio uchumi kwenye ushoroba wa kati na nchi za maziwa makuu
Nyie mtaenda hivyo hivyo kama madampo.Dodoma naona ndio imepata master plan sisi tulishazingua miaka kumi iliyopita lakini hakuna linalofanyika kuendana na master plan, hii nchi ngumu sana.
Reli ni muhimu sana sema ndio hivyo akili za kiafrika hazijaona matumizi sahihi ya reli na wakati sahihi na uendeshaji wa reliIngekuwa hivyo basi Morogoro na Mbeya zingekuwa na huo uchumi maana tofauti ni speed ila reli ni zile zile π€£π€£
Ukiniambia chagua kati ya reli au Barabara nitakwambia Barabara.
Mwakani itakamilika tutaona itakavyoongeza uchumi wenu huko Mwanza,Niko paleeeReli ni muhimu sana sema ndio hivyo akili za kiafrika hazijaona matumizi sahihi ya reli na wakati sahihi na uendeshaji wa reli
Shida ni viongozi wa kuteuliwa kila mtu anakuja na akili ya kula chake mapema nyie mbaki na uchafu wenu wa jiji, hii nchi ipo corrupt sana.Nyie mtaenda hivyo hivyo kama madampo.
Mwisho hivi swala la masterplan Lina shida gani? Mbeya Kuna masterplan ila hakuna anefuata ππ
Wivu tu, mbona husemi litakavyoongeza uchumi wa Dodoma au Dar.Mwakani itakamilika tutaona itakavyoongeza uchumi wenu huko Mwanza,Niko paleee
Kwa Dodoma inalenga kutoa service tuu na ndio maana Kuna plan ya ku integrate na light rail,commuter buses yaani BRT nk.Wivu tu, mbona husemi litakavyoongeza uchumi wa Dodoma au Dar.
Kwa Dodoma ni huduma lakini kwa Mwanza haina watu na bidhaa za kusafirisha, kati ya Dodoma na Mwanza wapi kuna abiria wengi?Kwa Dodoma inalenga kutoa service tuu na ndio maana Kuna plan ya ku integrate na light rail,commuter buses yaani BRT nk.
Huko kwenu hakuna hiyo masterplan mnakurupuka mtakachowaza asubuhi ,mbaya zaidi hakuna Cha kubeba huko Hadi iwe na maana.
Eti abiria wengi,mna hela? Pia si mumesongamana hovyo hovyo humo kwenye ma slums ya milimani nani awajengee miundombinu ya maana?Kwa Dodoma ni huduma lakini kwa Mwanza haina watu na bidhaa za kusafirisha, kati ya Dodoma na Mwanza wapi kuna abiria wengi?
Umesoma geography vizuri mkuu? Unajua Mwanza ni hub ya nchi ya maziwa makuu ikiwemo, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, S.Sudan na E.Congo
Kuna route yenye abiria wwngi kama ya Dar na Mwanza? Pesa Mwanza ndio maana kuna uchumi mkubwa na fursa nyingi za uchumi ikiwemo uvuvi, biashara, madini, viwanda, utalii , kilimo n.kEti abiria wengi,mna hela? Pia si mumesongamana hovyo hovyo humo kwenye ma slums ya milimani nani awajengee miundombinu ya maana?