ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Na haya ni mabanda ya nini? π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺππHahaha aiseee mbona huku mwanza haya ni mabanda ya kuku π π π π
Unaumia na utaumia sana na bado daraja na sgr π π π πNa haya ni mabanda ya nini? π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺππView attachment 3101125View attachment 3101126
Niumie Kwa sababu mnamiliki mabanda ya nguruwe? ππππUnaumia na utaumia sana na bado daraja na sgr π π π π
Sio ya umeme ni marekebisho ya kawaida sana sie tumewazidi nyumba za ghorofa na maeneo mengi ya kishua uzuri mbeya naijua nje ndani mji una mabanda hadi city centre π π π πNiumie Kwa sababu mnamiliki mabanda ya nguruwe? ππππ
Mbeya imekuwa na reli kabla yenu Tazara na inafanyiwa upya renovation Sasa sijui mna kipi Cha kulingishia π€£π
Aibu naiona Mimi π π π π unatia hurumaNiumie Kwa sababu mnamiliki mabanda ya nguruwe? ππππ
Mbeya imekuwa na reli kabla yenu Tazara na inafanyiwa upya renovation Sasa sijui mna kipi Cha kulingishia π€£π
Mbeya inazalisha mabilionea haiwezi kutia aibu kama Mwanza is Slum ππAibu naiona Mimi π π π π unatia huruma
Pole sana mwanza Kuna mgodi mpya utafunguliwa wa nyanzaga aiseee ni mgodi mkubwa kupita hata huo wa GeitaMbeya inazalisha mabilionea haiwezi kutia aibu kama Mwanza is Slum ππ
View: https://www.instagram.com/p/DALRxJvtcpn/?igsh=MWQ1YzN3bGU5anMyYQ==
Migodi wa mzungu wewe nyumbu wa milimani huko Mwanza utakusaidia nini? ππPole sana mwanza Kuna mgodi mpya utafunguliwa wa nyanzaga aiseee ni mgodi mkubwa kupita hata huo wa Geita
Eti mgodi wa mzungu huna akili π€£ π€£ π€£ π€£ njoo huku uone maajabu ya wachimbaji wanavyotoboa we zwazwa huku ni kimya kimya tu hatuna kelele π€£ π€£ π€£ π€£Migodi wa mzungu wewe nyumbu wa milimani huko Mwanza utakusaidia nini? ππ
Kwa taarifa Yako tuu Kwa Sasa Soko la Madini la Chunya ndio linaongoza Tanzania na pia ndiko Kuna wachimbaji wengi wadogo.
Mkondo una Mali Wilaya 3 ,haziishi Leo Wala kesho
Maajabu yapi? Baada ya Laiser ,msigwa wa piliEti mgodi wa mzungu huna akili π€£ π€£ π€£ π€£ njoo huku uone maajabu ya wachimbaji wanavyotoboa we zwazwa huku ni kimya kimya tu hatuna kelele π€£ π€£ π€£ π€£
Hahaha unaumia sana njoo huku dhahabu nje njeMaajabu yapi? Baada ya Laiser ,msigwa wa pili
Haka ni Ka Campus tena Kako huko maporini Sengerema ,Dom ni Chuo Kamili .
Kanda ya Ziwa isingeingoza Kwa Umaskini, Kiongozi wenu Mkuu wa kupeperusha bendera akiwa Kagera.Hahaha unaumia sana njoo huku dhahabu nje nje
Haya maneno ya wanawake.Haka ni Ka Campus tena Kako huko maporini Sengerema ,Dom ni Chuo Kamili .
Kanda ya Ziwa isingeingoza Kwa Umaskini, Kiongozi wenu Mkuu wa kupeperusha bendera akiwa Kagera
Mwanza mkoa wa pili Kwa mapato Tanzania unauita maskini pia mkoa wa pili Kwa safari za anga za ndani unauita maskini acha wivu wa kike wewe utasutwa π π π πKanda ya Ziwa isingeingoza Kwa Umaskini, Kiongozi wenu Mkuu wa kupeperusha bendera akiwa Kagera.
Huna hojaHaya maneno ya wanawake.
Mwanza ikiwa ya pili Kwa Mapato Arusha itakuwa ya ngapi?Mwanza mkoa wa pili Kwa mapato Tanzania unauita maskini pia mkoa wa pili Kwa safari za anga za ndani unauita maskini acha wivu wa kike wewe utasutwa π π π π
Kwani ni Sheria campus kuzidiwa na unachokiita chuo kamili kwanza kimwonekano hata render zenyewe zinafanana fanana acha chuki za kijinga π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π πHaka ni Ka Campus tena Kako huko maporini Sengerema ,Dom ni Chuo Kamili .