Makulu ndani ndani View attachment 3119494
Ushasema ndani ndani,Mwanza yake mabanda Yako CBD kabisa mule Ghana,Mabatini nk ππππ
Kwa hiyo hizi ni nyumba za serikali huko Swaswa si ndio πππππDodoma mitaa smart ni ile yenye nyumba za serikali tu kama ilazo kwingineko mitaani hali ni mbaya sana
Na hapa ni wapi? ππView attachment 3119485Huku ndiko kupangwa?
Mitandao na uhalisia ni vitu tofauti ππView attachment 3119489Eti jiji limepangwa hv?
Unajiaibisha Bure πππππView attachment 3119488Huku ndiko kupangwa?
Nyumba za serikali πππππView attachment 3119485Huku ndiko kupangwa?
Mitaa ya mabanda Jijini Dodoma π€£π€£π€£ππView attachment 3119489Eti jiji limepangwa hv?
Try to zoom ππView attachment 3119489Eti jiji limepangwa hv?
Mbona hakuna kitu hapo yaani unashangaza sana wewe jamaa huna exposure kabisa yaani kwa mwanza hivyo ni vibanda vya kuku mwanza makazi ya milimani bado changamoto hiyo Hali unaikuta Hadi makulu hapo Dodoma ,,,Dodoma nimepita Juzi Juzi nikiwa nakuja Dar. angalau Tanzania majiji ni mawili tu Dar na Mwanza π€£π€£π€£π€£
Bro bado sana Dodoma inapewa sana promo lakini bado sana mwanza ni jiji aisee hakuna kelele Wala Nini inapiga mtu kimya kimya Dodoma hata Tegeta kubwa kwa hapa Dar au Nyegezi na mkuyuni mwanza Dodoma kwisha π€£π€£π€£π€£π€£Nyumba za serikali πππππ
View: https://www.instagram.com/p/DAkb4sOt-74/?igsh=MXZpZzNkY3o4MDgyaw==
Hapa hata Nyegezi majengo haikutiiiTutajaza seva Bure,Dom sio ya kulinganisha na matakataka ya Mwanza is Slum π¬π¬ππ
View: https://www.instagram.com/p/C_-qOlTNauc/?igsh=MW9xeWQ3YjBqOXl3eA==