Endeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna sehemu utapata hoteli yenye ukubwa kama huu na parking ya kutosha zaidi ya magari 1000 ndani..🤣🤣Dodoma pabaya sanaView attachment 3128568
Hii nayo ni hotel au kituko tu, hii hotel ni sawa na Musabe schools tuEndeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna sehemu utapata hoteli yenye ukubwa kama huu na parking ya kutosha zaidi ya magari 1000 ndani..🤣🤣
View: https://www.instagram.com/reel/C_csI_zN0z5/?igsh=MW9yYnN6ZDM1ZmNxNA==
Hela zinazozikwa Jangwani Dodoma bora hata wangezipeleka Tanga tungepata mji mwingine mzuri wenye hali ya hewa nzuri, mandhari ya kuvutiaUzi umetembea mapage mengi kweli lakini hakuna la maana mnalojadili zaidi ya kubishania ujinga tu. Laiti hayo mabilioni yote wanayoyamwaga kwenye hiyo mikoa yenu wangeipa Tanga, Leo hii tungekuwa tunazungumzia Jiji lenye hadhi sawa na Dar es salaam pamoja na miundo mbinu na Mipango miji iliyo Bora zaidi.
Hii ni hôtel au mabweni ya kulala ..Endeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna sehemu utapata hoteli yenye ukubwa kama huu na parking ya kutosha zaidi ya magari 1000 ndani..🤣🤣
View: https://www.instagram.com/reel/C_csI_zN0z5/?igsh=MW9yYnN6ZDM1ZmNxNA==
Huna facts wewe ..una porojo tu zimekujaqUkitaka kubishana na mimi kwanza uwe smart+updated kichwani pili uwe na facts na hoja zilizoenda shule.
Picha za kuedit na video peleka kwenye thread yenu mkajifariji👇👇
Mwanza City: The Photo Gallery
a special thread for the rocky city. let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....www.google.com
Hahahahahahahahaha yaani mtu atoke mwanza aje ashangae ukame village huna akili wewe mwanza inanukia umjini mjini Hilo bwawa unalosema lipo Dodoma mwanza Kuna ziwa la asili na upepo mzuri na beach Kali zinaanza kujengwa naipenda mwanza sana aiseeeMwanza mtazimia mwaka huu 👇👇
Dom HQ👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DBQg9Z2tMDW/?igsh=dGcxNnhzdnYwcmh3
Hatarudia tena kupost mabweni ya shule halafu aseme hotel 🤣Hii ni hôtel au mabweni ya kulala ..
Hotel ni hızı toa uchafu wako hapaView attachment 3128579View attachment 3128580View attachment 3128581View attachment 3128582View attachment 3128583
Duuh mwanza ni tamu sana mbulula wa ukame village wanatafuta mlango wa kutokea jamii forum wamejiingiza wenyewe acha tuwaue kwa mikono yetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii ni hôtel au mabweni ya kulala ..
Hotel ni hızı toa uchafu wako hapaView attachment 3128579View attachment 3128580View attachment 3128581View attachment 3128582View attachment 3128583
Ilala IPI uilinganishe na Dodoma wewe ni ng'ombe sana mwanza mtandao wa barabara unaanza kusukwa mfano barabara ya Airport Hadi nyaguge km 46 igoma Hadi buhongwa mkandalasi yupo site nyamhongolo Hadi buswelu km 9 pia tuna mradi wa soko la kirumba na mkuyuni jumlisha na buswelu hivyo masoko yote haya yakikamilika mwanza itakuwa na masoko ya kisasa mengi Tanzania nje ya Dar barabara upo mpango mahususi na Juzi waziri wa Tamisemi amezungumza wakati akishuhudia utiaji Saini wa ujenzi wa masomo ya kisasa ya kirumba na mkuyuni ,,,hiyo ring road ya Dodoma sio kitu kwa mwanza sie huku tuna daraja la zaidi ya bilioni 700 🤣🤣🤣🤣habari chungu sana hii kwa wanaukame village fc mwanza ndo mkoa wenye mradi mkubwa unaotumia fedha nyingi sana Tanzania ndani ya mkoa mmoja tu ambao ndo huo ujenzi wa daraja kwa hiyo kwa vyovyote ujenzi wa miundo mbinu mwanza serikali haitakwepa kutokana na ukubwa wa mkoa huu kuanzia mapato Hadi idadi ya watu nyie Dodoma kupewa vijengo vya bilioni 10 mnajiona vijeba mwanza Kuna jengo la hotel ya nyota Tano kapripoint limetumia bilioni 100 Hilo ni jengo Moja na private sector construction industry mwanza IPO active sana soon mwanza itabeba taaswira nyingine ambayo watu wengi hawataamini🤣🤣🤣🤣Barabara za lami Dom wanapendelewa sana aisee ...yaani wana mtandao mpana wa barabara za lami na bado kilasiku zinaongezeka.Mshindani wa Dom kwenye barabara za lami ni Ilala.
Mwanza wakajilinganishe na Singida labda🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Mwanza na Kanda ya Ziwa yote hakuna hoteli yoyote yenye ukubwa kama wa St Gaspar Hotel & Conference Center.Hii nayo ni hotel au kituko tu, hii hotel ni sawa na Musabe schools tu
Kawadanganye washamba wenzako hizo porojo yaani unajitutumua kuongelea vitu ambavyo hata ujenzi haujaanza 😂😂. Wenzenu Dom miradi yao yote ni utekelezaji tu sio siasa🤣🤣👇👇Ilala IPI uilinganishe na Dodoma wewe ni ng'ombe sana mwanza mtandao wa barabara unaanza kusukwa mfano barabara ya Airport Hadi nyaguge km 46 igoma Hadi buhongwa mkandalasi yupo site nyamhongolo Hadi buswelu km 9 pia tuna mradi wa soko la kirumba na mkuyuni jumlisha na buswelu hivyo masoko yote haya yakikamilika mwanza itakuwa na masoko ya kisasa mengi Tanzania nje ya Dar barabara upo mpango mahususi na Juzi waziri wa Tamisemi amezungumza wakati akishuhudia utiaji Saini wa ujenzi wa masomo ya kisasa ya kirumba na mkuyuni ,,,hiyo ring road ya Dodoma sio kitu kwa mwanza sie huku tuna daraja la zaidi ya bilioni 700 🤣🤣🤣🤣habari chungu sana hii kwa wanaukame village fc mwanza ndo mkoa wenye mradi mkubwa unaotumia fedha nyingi sana Tanzania ndani ya mkoa mmoja tu ambao ndo huo ujenzi wa daraja kwa hiyo kwa vyovyote ujenzi wa miundo mbinu mwanza serikali haitakwepa kutokana na ukubwa wa mkoa huu kuanzia mapato Hadi idadi ya watu nyie Dodoma kupewa vijengo vya bilioni 10 mnajiona vijeba mwanza Kuna jengo la hotel ya nyota Tano kapripoint limetumia bilioni 100 Hilo ni jengo Moja na private sector construction industry mwanza IPO active sana soon mwanza itabeba taaswira nyingine ambayo watu wengi hawataamini🤣🤣🤣🤣
Huko shule ulienda kusomea ujinga eti...Hii thread inahusu Jiji la Mwanza sio mkoa wa Mwanza 😂😂Daraja la Kigongo-Busisi linaunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema.,,,hiyo ring road ya Dodoma sio kitu kwa mwanza sie huku tuna daraja la zaidi ya bilioni 700 🤣🤣🤣🤣habari chungu sana hii kwa wanaukame village fc mwanza ndo mmoa wenye mradi mkubwa unaotumia fedha nyingi sana Tanzania ndani ya mkoa mmoja tu ambao ndo huo ujenzi wa daraja kwa hiyo
School vs hotelEndeleeni kujifariji tu Mwanza hakuna sehemu utapata hoteli yenye ukubwa kama huu na parking ya kutosha zaidi ya magari 1000 ndani..🤣🤣
View: https://www.instagram.com/reel/C_csI_zN0z5/?igsh=MW9yYnN6ZDM1ZmNxNA==
Wewe ni pimbi tu🤣🤣Mwanza na Kanda ya Ziwa yote hakuna hoteli yoyote yenye ukubwa kama wa St Gaspar Hotel & Conference Center.
St Gaspar Hotel- kumbi za conference centers zaidi ya 10 eneo moja, parking kubwa inayotosha kupaki magari zaidi ya 1000 nitajie hoteli yoyote Mwanza yenye ukubwa huo😂😂😂
Sema wanaotalii hayo majengo ni watu wa Dodoma hao haoYaani mtu aache kwenda kufanya utalii Burj khalifa Dubai au Bugando mwanza akashangae majengo ya Dodoma wewe hamnazo kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani nani kakwambia hakuna miradi iliyosimama mwanza hujui kaa kimya huku Kuna 1.ujenzi wa bandari ya mwanza south unaendelea 🤣🤣🤣Kawadanganye washamba wenzako hizo porojo yaani unajitutumua kuongelea vitu ambavyo hata ujenzi haujaanza 😂😂. Wenzenu Dom miradi yao yote ni utekelezaji tu sio siasa🤣🤣👇👇
-Ring road ipo 50%
-Uwanja wa Kimataifa msalato upo 70%
-Barabara za mitaani hizo ndio balaa kilasiku zinajengwa mpya
-TANROADS hq ujenzi upo 80%
-TBS hq ujenzi upo 80%
-Tume ya Umwagiliaji ujenzi upo 60%
-Ofisi ya Taifa ya Mashtaka ujenzi upo 80%
N.k 😂😂😂