ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Unatakiwa uwahi mirembe ππWewe unaona lipi Bora, mwananchi mwenye pesa za kuwekeza au mwananchi masikini anayesubiri serikali iwekeze ili achekelee
Mwanza bado ipo juu, ijapokuwa ni Kwa muda mfupi tu
Ongea Kwa facts sio Kwa hisia.Mwanza ipo Juu Kwa Dom Kwa kipi hasa?Mwanza bado ipo juu, ijapokuwa ni Kwa muda mfupi tu
Subiri Mikdde aje kukwambia eti Dom hakuna viwanda π€£π€£Unatakiwa uwahi mirembe ππ
Serikali inawekeza ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFfD7yBCGdk/?igsh=cWZoYWdmcHg4eGdh
Mwezi July uwanja unafungulowa rasmi ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFexJ5QNWmt/?igsh=MXJ0b3dsdzUyemk2OA==
Wewe unaona lipi Bora, mwananchi mwenye pesa za kuwekeza au mwananchi masikini anayesubiri serikali iwekeze ili achekelee
Ilo jenga linaweza kuwa ndani ya top 3 ya majengo yenye mvuto nchini Tanzania, hongereni lakini Dodoma mnaongoza kwa Mbeleko kila jengo zuri dodoma ni la serikali.
Bado hujachokaKila siku una post renders,tumechoka bwana weka progress ππ
Huduma zip za jamii inaizidi mwanzaOngea Kwa facts sio Kwa hisia.Mwanza ipo Juu Kwa Dom Kwa kipi hasa?
-Inazidiwa Mapato ya Jiji na TRA
-Inazidiwa ubora wa miundombinu
-Inazidiwa ubora na Wingi wa Huduma za jamii
-Inazidiwa Kwa kukosa Airport ya Kisasa
-Inazidiwa viwanda na Dodoma
Hiyo Mwanza labda Iko Juu ya Mawe ππ
View: https://x.com/InvestTanzania/status/1885253086027055387?t=1Xce-we55PQee57L5se__g&s=19
Naona uswazi tuu kule background ππBado hujachokaView attachment 3219992
Naona uswazi tuu kule background ππ
Hamna kitu ..unasifia penye hamna...Ilo jenga linaweza kuwa ndani ya top 3 ya majengo yenye mvuto nchini Tanzania, hongereni lakini Dodoma mnaongoza kwa Mbeleko kila jengo zuri dodoma ni la serikali.
Kwa hiyo Ili iwe vibrant City inatakiwa ijae uswazi si ndio ππ€£View attachment 3220043
Dodoma sio vibrant city.ni Jiji lenye ulemavu .. hamna highway standard and busious kama makongoro avenue
Tunaomba highway kama hii huko matumbuluKwa hiyo Ili iwe vibrant City inatakiwa ijae uswazi si ndio ππ€£
-Elimu eg Vyuo Vikuu Hadi shuleHuduma zip za jamii inaizidi mwanza
Mwanza ni vichekesho,haka kapicha kamekinaiHamna kitu ..unasifia penye hamna...
View attachment 3220051
-Kuna Jengo la Mahakama kuuIlo jenga linaweza kuwa ndani ya top 3 ya majengo yenye mvuto nchini Tanzania, hongereni lakini Dodoma mnaongoza kwa Mbeleko kila jengo zuri dodoma ni la serikali.
Huduma zipi za afya wakati tunawazidi idadi ya hospital na vituo vya afya .-Elimu eg Vyuo Vikuu Hadi shule
-Huduma za Afya kuanzia za kibingwa Hadi za msingi
Ukitumwa uswazi peleka Jiji la dar es salaam na mbeya sio pretty city the rock cityNaona uswazi tuu kule background ππ
Majengo yote mazuri na marefu miji yote Tanzania ni ya serikali/taasisi za serikali.Ilo jenga linaweza kuwa ndani ya top 3 ya majengo yenye mvuto nchini Tanzania, hongereni lakini Dodoma mnaongoza kwa Mbeleko kila jengo zuri dodoma ni la serikali.