ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mnajikongoja.Nyanzaga imekufa π€£π€£
Naona umetengeneza page yako instagram upate engagement
Dom bado ni kijiji mpaka ifike hizi level labda after some years to come π₯π₯π₯Naona umetengeneza page yako instagram upate engagement
π
Weka mbali na vitoto
View: https://youtu.be/_aXFpZe7ao8?si=EYjSv5sfKi5Gnw8C
Tumechoka
Tumechoka
..kila siku hapo tu
Unachokaje mapema hivi bwashee? Bado Hadi useme π πTumechoka
..kila siku hapo tu
Dah mwanza jiji tamu sana π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ walete city center ya Dodoma walinganganishe na hapa mjinga pekee nde anaidharau mwanza ila shughuli yake sio ndogo nawaza serikali ingeweka nguvu kama ya Dodoma hivi mwanza ingekuwaje licha serikali kuhamia Dodoma lakini mwanza bado ni π₯π₯π₯π₯π₯π₯Naona umetengeneza page yako instagram upate engagement
π
Weka mbali na vitoto
View: https://youtu.be/_aXFpZe7ao8?si=EYjSv5sfKi5Gnw8C
Hakuna kitu hapo mwanza ni habari nyingine unatumia nguvu kubwa kuibrand Dodoma lakini bado ni mji wa kiboya sanaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ mwanza haitangazwi kama Dodoma inajitangaza yenyeweππππππππππππππππππππππππππππππππππUnachokaje mapema hivi bwashee? Bado Hadi useme π π
View: https://youtu.be/jtDpV2bTh1k?feature=shared
Acha kuchekesha yaani natamani ipigwe picha ya juu ya usiku ya mwanza na ya Dodoma utakuja kusutwa we mshamba mandazi mwanza wengi hawaijui kwa sababu ya jiografia yake lakini ukweli mchungu ni kwamba mwanza ni los Angeles ya kibongo bongo Kuna mahekali ya kisasa yanajengwa mitaa ya bwiru ,kapripoint na kiseke etc duuh mwanza ni jiji la pili baada ya dar kwa kuwasha taa usiku Dodoma ikojoe ikalale hiki ni kikao cha wakubwa wa nchi hii yaani Dar na mwanza na Arusha kwa mbaaaaali mbeya hata asisogee kabisaπ€£π€£π€£π€£ππππππ
Anajitekenya na kucheka mwenyewe huyo lofa hata mwanza hajakanyaga ila anajifanya anaijuuua ππππExactly,Ukweli mchungu huu....wanaleta ushabiki maandazi