Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Shida yako unaulimbukeni wa vigorofa mwanza kuna ujenzi kila siku unaendelea lakini uwezi kuona tunaangaika kama wewe mfano kuna chuo cha DIT,Makao makuu ya TBS kinda ya ziwa,kuna Mwanza university kinajengwa bandari zote mbili south port na north port,masoko ya kimataifa kirumba na mkuyuni , Sekotoire hospital ,kamanga hospital,Mwanza collage yote haya ni magorofa kuhusu private company ndo usiseme.Mwanza hivi ni vitu vya kawaida.
 
Wasalimie kijijini Mwanza
 
Wasalimie kijijini Mwanza
🀣🀣🀣 mtajipendekeza sana kwa mwanza ila mtakaa alianza Arusha huyo kapotea kimya kimya na nyinyi mnakuja kwa mbwmbwe lakini wapi..sasa mpaneni na umasikini wa watu wenu kwanza na mchimbe ziwa au bahari ili vumbi lipingue.
 
🀣🀣🀣 mtajipendekeza sana kwa mwanza ila mtakaa alianza Arusha huyo kapotea kimya kimya na nyinyi mnakuja kwa mbwmbwe lakini wapi..sasa mpaneni na umasikini wa watu wenu kwanza na mchimbe ziwa au bahari ili vumbi lipingue.
Ni kweli Mwanza ni oversize kwa majiji yote Tanzania ukiachana na DSM
Nawashangaa tu watu wa vitongojji vya Dodoma na Arusha wanavyojaribu ku compare vijiji vyao na Mwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…