Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hizi promo za uongo unamdanganya nani asiepajua Dodoma? Ua kuna Dodoma nyingine? Dodoma hawana lolote kuweza kuizidi Mwanza ambayo inajiendesha kwa juhudi za wakazi wenyewe. Serikali leo ikirudi Dar, Dodoma tupa kule!
Promo zinaendelea.

Dom kama Dom πŸ‘‡
 

Attachments

  • tapatalk_1653645659134.jpg
    132.6 KB · Views: 23
  • tapatalk_1653645673001.jpg
    152.8 KB · Views: 23
  • IMG_8398.jpg
    229.9 KB · Views: 24
Mwanza ....majengo tu yanaashiria wapi palipewa heshima zaidi
 

Attachments

  • 20220618_185739.png
    171.3 KB · Views: 13
  • HAKUNA-UPINZANI-01-1.jpg
    94.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220616-001153_1.jpg
    57 KB · Views: 12
  • IMG_2155.jpg
    659.9 KB · Views: 14
  • FB_IMG_1654793870011.jpg
    47.2 KB · Views: 14
  • FB_IMG_1654793866685.jpg
    68.1 KB · Views: 14

Attachments

  • tapatalk_1653645659134.jpg
    132.6 KB · Views: 15
  • tapatalk_1653645673001.jpg
    152.8 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220519-224431_1.jpg
    37 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220519-224523_1.jpg
    38.3 KB · Views: 16
  • Untitled-2-01-1024x580.jpg
    79.2 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220213-004628_1.jpg
    17.2 KB · Views: 13
  • najelbuilders_1644700060814_7.jpg
    68.7 KB · Views: 11
  • najelbuilders_1644700060754_1.jpg
    71.1 KB · Views: 11
  • 3011531_IMG_6865.jpg
    39.1 KB · Views: 13
  • thumb_2392_800x420_0_0_auto(0).jpg
    91.9 KB · Views: 11
  • JENGO.jpg
    57.4 KB · Views: 13
Hana pengine pa kupost zaid ya hapo medeli majengo ya serikali yote..
Kila siku huwa anarudia majengo hayo hayo na render hizo hizo, mji kila jengo ni jengo la.serikali huseme hapo kuna maendeleo kweli au fursa za kibiashara ni bora uende singida kuliko hapo jangwani.
 
Kutoka Mjini hadi Mtumba ni km ngapi?πŸ‘‡
Hiyo ring road ina impact gani kwa wananchi zaidi ya kupitisha magari ya wabunge na mawaziri pamoja na makatibu ata magari 100 kwa siku hayatapita hapo, hizi ndizo white elephant project, majiji makubwa kama Mwanza barabara zimekuwa hazipitiki na jam kubwa lakini barabara za hivi wanapeleka maporini hii nchi ni ya kifala sana.
 
Mshikaji sikuhizi hana content arukia mikoa na mikoa ila bado kote anazidiwa
Mwanza inampa pressure
 
Kwanza hakuna Ring Road hapo,Dodoma yenyewe hata huijui kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…