Kile eneo na fursa zake. Ukianza hivyo pia utasema dsm bila bahari na bansari, mwanza bila ziwa n.k.Kwa lile vumbi hapana bila bunge na udom pangebaki pa hovyo sana.
Hakuna cha green hapo,kuifananisha Mwanza na Dom,ni kuionea Mwanza bure
Hako kamji zaidi ya hapo CBD huko kwingine ni slums tupu😆😆Wakuu naomba kuwasilisha, huu ndo mji wa Mwanza ambao et the so called dodoma wanajaribu kujilinganisha nao seriously!View attachment 2080265