Je, ni kweli kuwa katika maisha ya sasa hatuangalii GPA kubwa, bali ujuzi hasa katika computer science

Je, ni kweli kuwa katika maisha ya sasa hatuangalii GPA kubwa, bali ujuzi hasa katika computer science

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Sababu:
Nimekuwa nikitumia muda mwingi kujifunza mambo nje ya darasa, kama vile:

Programming

Blockchain technology

Web Development

Akili Bandia (AI) &Machine Learning

Ujuzi Mbalimbali wa Kiufundi


Hata hivyo, juhudi hizi zimeathiri kwa kiasi kikubwa kiwango changu cha ufaulu darasani (GPA). Swali langu ni je, niendelee kuwekeza muda wangu kujifunza ujuzi wa vitendo na kiteknolojia ambao unaonekana kuwa muhimu zaidi sokoni? Au niwekeze nguvu zangu zaidi katika kupandisha GPA yangu kwa sababu ya umuhimu wake wa kitaaluma?


Naomba ushauri wenu🙏🏻🙏🏻🙏🏻.
 
Lazima uset malengo! Unataka kuajiriwa ama kujiajiri!
Sasa mdogo angu unatafuta maskills yote halafu bado unarely na kuajiriwa huoni kama unajipotezea muda???
GPA inamatter kama unafocus na kuajiriwa ila kama you are your own boss mazee tafuta GPA yako ya kishkaji ya kuvalia joho halafu force upate skills
 
Lazima uset malengo! Unataka kuajiriwa ama kujiajiri!
Sasa mdogo angu unatafuta maskills yote halafu bado unarely na kuajiriwa huoni kama unajipotezea muda???
GPA inamatter kama unafocus na kuajiriwa ila kama you are your own boss mazee tafuta GPA yako ya kishkaji ya kuvalia joho halafu force upate skills
Kujiajiri
 
The focus on skills and things that align with your prospects; in case you know well where you are heading to !!! GPA, no matter how good it is, without going to positively impacting your life, it's of no use !!!
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Sababu:
Nimekuwa nikitumia muda mwingi kujifunza mambo nje ya darasa, kama vile:

Programming

Blockchain technology

Web Development

Akili Bandia (AI) &Machine Learning

Ujuzi Mbalimbali wa Kiufundi


Hata hivyo, juhudi hizi zimeathiri kwa kiasi kikubwa kiwango changu cha ufaulu darasani (GPA). Swali langu ni je, niendelee kuwekeza muda wangu kujifunza ujuzi wa vitendo na kiteknolojia ambao unaonekana kuwa muhimu zaidi sokoni? Au niwekeze nguvu zangu zaidi katika kupandisha GPA yangu kwa sababu ya umuhimu wake wa kitaaluma?


Naomba ushauri wenu🙏🏻🙏🏻🙏🏻.
Kwanza unasoma degree program gani???
 
Sababu:
Nimekuwa nikitumia muda mwingi kujifunza mambo nje ya darasa, kama vile:

Programming

Blockchain technology

Web Development

Akili Bandia (AI) &Machine Learning

Ujuzi Mbalimbali wa Kiufundi


Hata hivyo, juhudi hizi zimeathiri kwa kiasi kikubwa kiwango changu cha ufaulu darasani (GPA). Swali langu ni je, niendelee kuwekeza muda wangu kujifunza ujuzi wa vitendo na kiteknolojia ambao unaonekana kuwa muhimu zaidi sokoni? Au niwekeze nguvu zangu zaidi katika kupandisha GPA yangu kwa sababu ya umuhimu wake wa kitaaluma?


Naomba ushauri wenu🙏🏻🙏🏻🙏🏻.
Kwanza unasoma degree program gani???
Kama unataka kujiajiriwa mambo hayo tanzania utaishia kuwa web developer au IT specialist ulipwe ka mshahara ka laki 6 -2m kulingana na uzoefu na taasisi
Kama unataka real money focus na Cybersecurity uwe mdukuzi.utengeneze ransomware upige pesa.
 
Kwanza unasoma degree program gani???
Kama unataka kujiajiriwa mambo hayo tanzania utaishia kuwa web developer au IT specialist ulipwe ka mshahara ka laki 6 -2m kulingana na uzoefu na taasisi
Kama unataka real money focus na Cybersecurity uwe mdukuzi.utengeneze ransomware upige pesa.
Pesa ipo kila sehemu sio cyber security tu, muache aende na muelekeo aliouchagua
Miluzi mingi unampotezea dogo focus, huo uelekeo aliouchagua ni very marketable ni ywye tu anajiwekaje tofauti na wengine
 
Sababu:
Nimekuwa nikitumia muda mwingi kujifunza mambo nje ya darasa, kama vile:

Programming

Blockchain technology

Web Development

Akili Bandia (AI) &Machine Learning

Ujuzi Mbalimbali wa Kiufundi


Hata hivyo, juhudi hizi zimeathiri kwa kiasi kikubwa kiwango changu cha ufaulu darasani (GPA). Swali langu ni je, niendelee kuwekeza muda wangu kujifunza ujuzi wa vitendo na kiteknolojia ambao unaonekana kuwa muhimu zaidi sokoni? Au niwekeze nguvu zangu zaidi katika kupandisha GPA yangu kwa sababu ya umuhimu wake wa kitaaluma?


Naomba ushauri wenu[emoji1317][emoji1317][emoji1317].
Pata vyote; ujuzi wa kutosha na GPA nene; haupungukiwi chochote ukipata vyote.
 
Back
Top Bottom