Je, ni kweli kuwa Morocco ni Waarabu na si Waafrika?

Je, ni kweli kuwa Morocco ni Waarabu na si Waafrika?

City Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
402
Reaction score
1,212
Morocco wamequalify kwa ajili ya SEMI-FINAL za world cup good news to Africa japo kuna rumours kuwa wao ni Arabs na so Africa na haya maneno yametoka kwao.

Well sisi sio kwamba tunawahitaji sana morocco lakini MOROCCO si Waarabu

1. Culture -utamaduni wa waarabu esp kwenye mavazi wanatofautiana sana na morocco. Asili ya mavazi ya morocco ni Africa na sio Arab, Chakula Waarabu ni RICE based food na Morrocco ni BREAD based food (mikate ya yesu)[emoji1], Linguistic wamorroco asili ya lugha yao si Kiarabu.

2. Geography
-Nchi ya Morocco inapatikana Africa ya magharibi na sio Asia au bara lenye Arabs nafikiri kuwa karibu na Mecca imeeafanya kuzoea zaidi uarabu kuliko Africa.

3. Historically - watu wa kwanza kuitawala Morocco ni ROMANS in 2nd Century AD so hakuna trace zozote zinazoonyesha chimbuko la waarabu Morocco

BTW kama morocco hawapendi kuitwa Africans hilo sio tatizo ila wakumbuke WORLD CUP does not tell who is a real african and who is not.

Na sisi pia jamani tujitahidi kupambana tungekuwa na TIMU hata moja kutoka East Africa iliyofika hata 16 bora tusingekuwa watoto wa kufikia wa Morocco.

Lets find the way out

images%20(95).jpg
 
Ni waarabu waacheni. Waarab wanawatambua kuwa ni ndugu zao mimi ni nani nipingane nao.
La msingi hapa tengeneza timu zetu kombe lijalo zikapambane kuliko kuendelea kulazimisha undugu na mtoto wa mjomba aliyefanikiwa
 
Ni waarabu waacheni. Waarab wanawatambua kuwa ni ndugu zao mimi ni nani nipingane nao.
La msingi hapa tengeneza timu zetu kombe lijalo zikapambane kuliko kuendelea kulazimisha undugu na mtoto wa mjomba aliyefanikiwa
kuna siku waarabu watawakataa kuna maisha baaya ya WOD KAP
 
Berber hao ila wana culture zaidi za kiarabu kuliko ki bantu pia wana lugha yao ila wanaongea kiarabu na kifaransa

Kiarabu chao ni kama Tunisia na Algeria ni ngumu ila kwa mimi nawaelewa kwa sababu nimeishi nao na nimeishi na jamii zaidi ya 15 za waarabu na ninaelewana nao wote kuanzia Wairaq mpaka wa Palestine mpaka Syrians na hata Gulf countries wote

Hao ni waarabu na ni waafrika hili halina mjadala maana wapo kwenye continent letu wote
Watukatae sawa watukubali sawa ili mradi hatulishani sawa tu
 
Ni waarabu waacheni. Waarab wanawatambua kuwa ni ndugu zao mimi ni nani nipingane nao.
La msingi hapa tengeneza timu zetu kombe lijalo zikapambane kuliko kuendelea kulazimisha undugu na mtoto wa mjomba aliyefanikiwa
Mimi sioni kama kuna undugu unao lazimishwa! Kimsingi hao Morocco wapo ndani ya Bara la Afrika.

Na kama wanajiona wao siyo Waafrika, basi wahamie huko kwa Waarab wenzao kama inawezekana.

Au wajitenge kabisa na Bara la Afrika. Kinyume na hapo, basi ni wanafiki tu. Maana hata hiyo nafasi yenyewe wameipatia Afrika, na siyo Uarabuni.
 
Mimi sioni kama kuna undugu unao lazimishwa! Kimsingi hao Morocco wapo ndani ya Bara la Afrika.

Na kama wanajiona wao siyo Waafrika, basi wahamie huko kwa Waarab wenzao kama inawezekana.

Au wajitenge kabisa na Bara la Afrika. Kinyume na hapo, basi ni wanafiki tu. Maana hata hiyo nafasi yenyewe wameipatia Afrika, na siyo Uarabuni.
Mkuu ni kitu gani kinaifanya russia iwe Ulaya na sio Kazakhstan?
 
Morocco wamequalify kwa ajili ya SEMI-FINAL za world cup good news to Africa japo kuna rumours kuwa wao ni Arabs na so Africa na haya maneno yametoka kwao.

Well sisi sio kwamba tunawahitaji sana morocco lakini MOROCCO si waarabu

1. Culture-utamaduni wa waarabu esp kwenye mavazi wanatofautiana sana na morocco. Asili ya mavazi ya morocco ni Africa na sio Arab, Chakula Waarabu ni RICE based food na Morrocco ni BREAD based food (mikate ya yesu)[emoji1], Linguistic wamorroco asili ya lugha yao si kiarabu

2.Geography-Nchi ya Morocco inapatikana Africa ya magharibi na sio Asia au bara lenye Arabs nafikiri kuwa karibu na Mecca imeeafanya kuzoea zaidi uarabu kuliko africa

3. Historically- watu wa kwanza kuitawala Morocco ni ROMANS in 2nd Century AD so hakuna trace zozote zinazoonyesha chimbuko la waarabu morocco

BTW kama morocco hawapendi kuitwa Africans hilo sio tatizo ila wakumbuke WORLD CUP does not tell who is a real african and who is not.

Nasisi pia jamani tujitahidi kupambana tungekuwa na TIMU hata moja kutoka East Africa iliyofika hata 16 bora tusingekuwa watoto wa kufikia wa morocco

Lets find the way out
View attachment 2443361
Kwa damu ni waarabu, kwa location ndio nchi yao iko Africa.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
2.Geography-Nchi ya Morocco inapatikana Africa ya magharibi na sio Asia au bara lenye Arabs nafikiri kuwa karibu na Mecca imeeafanya kuzoea zaidi uarabu kuliko africa

Mkuu Morocco ipo kaskazini mwa bara la Africa na si magharibi.

Na kuhusu kukataa kuwa sio nchi ya Africa na maoni yao, jeografia inaonyesha na wote duniani wanatambua kuwa ni nchi ya Africa.

Nafikiri umasikini, njaa, ujinga, siasa mbovu na upuuz mwngine wa nchi nying za Africa ndio sababu kuu ya wao kuukataa Uafrica. Na ukitazana wengi wana asili ya Kiarabu.

Note: Hakuna anaependa kuwa na ndugu mwenye sifa tajwa hapo juu.
 
Back
Top Bottom