Je, ni kweli kuwa ndoto ni reflection ya future ya mtu?

Je, ni kweli kuwa ndoto ni reflection ya future ya mtu?

Sure unachosema mkuu...ingawa kuna kitu kwenye issue ya memory Kinaitwa "de'ja'vu" ambapo mtu anahisi tukio kuwa lilishawahi tokea nyuma ingawa in real sense halijawahi tokea.Vile vile kuna kitu kinachoitwa IMANI hichi ndicho kinachochukua nafasi kubwa katika doto, kama ukiamini ulichoota kunauwezekano mkubwa kutokea kwasababu utakuwa unaifanyia kazi hio ndoto na ukipuuzia ni marachache kutokea kwasababu hutaifanyia kazi.....

Very true sir.

Kuna power katika belief. Any belief ina impact katika uhalisia wetu maishani.

Pia ulipozungumzia De ja Vu ningependa kishare hii concept. Zamani nilikuwa najiuliza De ja Vu ni nini? Nikafuatilia jinsi maeneo mbalimbali wanavyotafsiri hiyo hali.

Nilikuta nimeipenda logic ya Wahindi. Hali ya De ja Vu kwao wanaelezea kama ifuatavyo. Wao wanaamini Reincarnation. Idea ya kuwa maisha ni sehemu ya majaribio ya nafsi kuamka na kujitambua. Kwahiyo nafsi isipokuwa Enlightened inazaliwa na kufa katika forms mbalimbali za uhai kutokana na matendo na level ya ufahamu wa mtu. Kwahiyo mazingira, souls za watu, na hali mbalimbali zinaweza kuwa kurudia kutokana na kuwa haya sio maisha yako ya kwanza hivyo sio mara ya kwanza kukutana navyo au kukutana na hali au nafsi fulani za watu. Na kila maisha uliyoishi memory yake ipo kwenye inner part of the mind (subconscious mind). Sometimes unaweza ukawa unapita eneo ambali in you past lives uliwahi kupita au kupaona na kwa sababu tunatumia conscious mind, ambayo ipo connected na subconscious mind, subconscious mind inajaribu kurecall kilichopo kwenye conscious mind. Lakini hutoweza kukumbuka mpaka uwe Enlightened akili iwe level ya Awakening.

Hivyo kwao wanaona haya maisha sio ya kwanza, kuna kuzaliwa na kufa na kuzaliwa na kufa katika muda baada ya muda hivyo sometimes unaweza ukawa upp familiar na eneo au tukio ambalo limejirudia au mtu umekutana naye ambaye ukahisi emotional connection hata kama humjua kumbe ana nafasi fulani katika maisha yako either sasa au past lives.

Since then hii idea ya de ja vu seems crazy to me.

That what I likes to share what other places sees de ja vu. De Ja vu inawatokea wengi na kila mtu takribani aliwahi kuipata hii hali. Me mwenyewe niliwaza sana kwanini hii hali ipo.
 
I guess sijakupa taarifa yoyote kuhusiana na kuota ndoto ikatokea na science inasemaje kuhusiana na hilo.

Nilisema sio wanadamu tu ambao wanaota ndoto, ukasema nina ushahidi kwa hili? Nikakupa ushahidi kuwa 80% ya wanyama nao wanaota ndoto na 40% ya Reptiles.

Sikutoa ushahidi wa ndoto na future katika sayansi. Bado
Ushahidi uliotoa hauna uhakika.
 
I guess sijakupa taarifa yoyote kuhusiana na kuota ndoto ikatokea na science inasemaje kuhusiana na hilo.

Nilisema sio wanadamu tu ambao wanaota ndoto, ukasema nina ushahidi kwa hili? Nikakupa ushahidi kuwa 80% ya wanyama nao wanaota ndoto na 40% ya Reptiles.

Sikutoa ushahidi wa ndoto na future katika sayansi. Bado
Ni makisio tu.
 
Ushahidi uliotoa hauna uhakika.

Okay nitakupatia Scientific report yenywe iliyokuwa submitted. Kama wewe ni msomi nadhani utakuwa unatambua taratibu za ku submit research paper na rules zake.

Nakupa hii research paper ya Michael Schredl kutoka Central Institute of Mental Health, Medical Faculty Mannheim, katika chuo cha Heidelberg University. Nchini Ujerumani mwaka 2013.

https://journals.ub.uni-heidelberg.de/index.php/IJoDR/article/viewFile/9609/pdf_38

Kama hutaona umeridhika baada ya kuisoma its okay. Itakuwa una mtazamo wako.

Wiki njema.
 
Habarini wadau, Mimi ni kijana wa miaka 19, kwa miaka mi3 mfululizo nimekuwa nikijihusisha na kufanya ubunifu wa mambo mbalimbali yanayosaidia jamii nimebahatika kushindanishwa katika mashindano mbalimbali na kushinda.

Ni wiki chache toka niote ndoto ambayo niliifurahia. Niliota nilikuwa nikihutubia watu mbalimbali wakubwa na wenye vyeo nchini MTU pekee ninayemkumbuka ni Paul makonda ambaye alikuwa moja ya wageni katika hafla hiyo nakumbuka niliongea mambo ambayo yaligusa watu wengi na baada ya kushuka jukwaani makonda alinifuata na kunikumbatia na kuniuliza kuwa niliwezaje kufanya mambo mbalimbali katika umri wangu huu Mdogo na watu wengi wakatamani kunisaidia.

Kwangu Mimi Hii ndoto niliiamini na ninaamini ni moja ya njia mungu anayotumia kuwasiliana nami na kunijuza kuwa siku moja ninaweza kukutana na watu mashuhuri duniani. Ningependa je ndoto kama hii ina ukweli wowote ndani yake nikilinganisha na shughuli zangu za kilasiku? Na je kama ni moja ya ishara za mungu nifanye vipi niweze kufanikiwa kuwa MTU yule ambaye ndoto hii inajaribu kunielezea.

Naombeni na ushauri mwingine wowote unaweza kufaa. Asante

Cc mshana jr Heaven Sent DIVINE
Napenda kukufahamisha kwamba roho ndio kitu cha kwanza kufikiwa na jambo la kheri au la shari,hata katika maisha roho ndio inaweza kuishi maisha yaliyopita,ya sasa na yajayo katika mda uliopangiwa kuishi hapa duniani wakati wowote ikiamua kuishi maisha hayo.Ndoto yako ni ishara ya mafanikio katika maisha,mimi ni shahidi wa kukamilika ndoto kama zako kwani niliota ndoto nyingi kama yako pamoja na nyingine nzuri sana na sasa nyingi zimetimia na nyingine zinaendelea kutimia kila baada ya siku.
 
Ndoto yako inaweza kuwa kweli endapo utaheshimu kile unachofanya na kuguata njia iliyo sahihi ili kufanikisha malendo yako amini ktk ndoto na unaweza kuitimiza
 
Habarini wadau, Mimi ni kijana wa miaka 19, kwa miaka mi3 mfululizo nimekuwa nikijihusisha na kufanya ubunifu wa mambo mbalimbali yanayosaidia jamii nimebahatika kushindanishwa katika mashindano mbalimbali na kushinda.

Ni wiki chache toka niote ndoto ambayo niliifurahia. Niliota nilikuwa nikihutubia watu mbalimbali wakubwa na wenye vyeo nchini MTU pekee ninayemkumbuka ni Paul makonda ambaye alikuwa moja ya wageni katika hafla hiyo nakumbuka niliongea mambo ambayo yaligusa watu wengi na baada ya kushuka jukwaani makonda alinifuata na kunikumbatia na kuniuliza kuwa niliwezaje kufanya mambo mbalimbali katika umri wangu huu Mdogo na watu wengi wakatamani kunisaidia.

Kwangu Mimi Hii ndoto niliiamini na ninaamini ni moja ya njia mungu anayotumia kuwasiliana nami na kunijuza kuwa siku moja ninaweza kukutana na watu mashuhuri duniani. Ningependa je ndoto kama hii ina ukweli wowote ndani yake nikilinganisha na shughuli zangu za kilasiku? Na je kama ni moja ya ishara za mungu nifanye vipi niweze kufanikiwa kuwa MTU yule ambaye ndoto hii inajaribu kunielezea.

Naombeni na ushauri mwingine wowote unaweza kufaa. Asante

Cc mshana jr Heaven Sent DIVINE
Mbona umeshajibu mwnywe ndanio ya uzi wako!

Ndoto ni njia Mungu anatumia kusema ma mwanadamu!
 
Kuna uzi unahusu ndoto nilitoa somo kuhusu ndoto!

Inshort,be carefully usopende kumwambia kila mtu ndoto zako utaibiwa !

Makonda katumika kuonyesha kuwa utakuja kuwa mtu fulani kwny jamii!na utafanya mambo(ubunifu) ambayo yatashangaza wengi(wakubwa)

Lkn pia ili ufikie hayo unahitaji Mungu akusaidie pia kuwa na ambao wanauwezo wa kukusaidia kufikia malengo/future/destiny
 
Back
Top Bottom