Hahhaha hawaelewi wewe peleka kidogo kidogo labda kila mwezi bada ya miezi kama 3 hivi wataanza kukuzoea hivo maswali yatapunguaHIVI KAMA MTU KAVUNJA KIBUBU CHAKE HILO LIPOJE?
aiseeh Nasikia kuna mama mmoja kariakoo kanunua nyumba tabata, wamemchunguza hadi dukani kwake anavyouza na kuingiza wakamuomba risiti za miaka 5 iliyopita tangu alipoanza biashara! chanzo ni vile kanunua nyumba
HIVI KAMA MTU KAVUNJA KIBUBU CHAKE HILO LIPOJE?
sasa kama umevunja kibubu unawaambiaje?
Mkuu sio wakuda ila na wao ndio hivyo wanakuwa red flaged na BOT kama wanapokea pesa toka nje bila maelezo au supporting docs ya kazi gani imetoka kwa nani.Sitataja jina lakin ni wakuda sana ,
KWA MFANO PESA ZA UDALALI INAKUWAJE? Mfano mtu kadalalia cha juu 50mil unaanzaje kupata documents?Hatari sana. Kwa wafanya biashara muhimu sana kutunza kumbukumbu. Pia naona fursa kwa wahasibu kuwafanyia mahesabu na kuwawekea kumbukumbu zao wafanya biashara wadogo wadogo ili kuweka mahusabu yao vizuri. Itawaokoa na mambo mengi pia kuwasaidia kuhakikisha wanalipa zile kodi stahiki na hawaingii kwenye migogoro na TRA.
KWA MFANO PESA ZA UDALALI INAKUWAJE? Mfano mtu kadalalia cha juu 50mil unaanzaje kupata documents?
fundi au muosha magari unaanzaje kumfanyia tathimini?Sasa mkuu si unawaambia umevunja kibubu kwani useme vipi tena wakati umevunja kibubu?
Watajiridhisha kwa kukufanyia tathmini ya kipato chako kuona kama kinaendana na maelezo yako.
fundi au muosha magari unaanzaje kumfanyia tathimini?
DALALI OFISI YAKE CHINI YA MWEMBE; akilipwa apeleke documents gani?Udalali mbona wenzako wana ofisi zao na wanalipa kodi? Swali la msingi ilikua benki kuhoji unapofanya miamala mikubwa, nimeshakwambia bila kujali pesa umeipata wapi utaulizwa, hakuna haja ya kuogopa wala kuwa na mashaka kama vyanzo vyako vya mapato ni halali alimradi uwe na nyaraka.
Huyo mfanyabiashara anaenunua nyumba yenye 50M ya udalali mara nyingi atakua anajielewa kuhakikisha mambo ya nyaraka yamekaa sawa. Vinginevyo na yeye pesa yake iwe ya mashaka.
Unavyoongea kwa kujiamini.Acha kudanganya watu hakuna kitu km hichp 5m?? 15??? tangia lini benk ikuhoji hiyo ni pesa ndogo sn
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafanya sn tena zaidi ya hiyo amount sijaona kitu km hichoUnavyoongea kwa kujiamini.
Nina mashaka iwapo unafanya miamala Mingi Benki Miaka miwili au mitatu hii.
Ni utaratibu wa kawaida sana mbona hata 3Mil.unaulizwa aamue kupuuza utaratibu tu teller husika.
Exactly. Pamoja na kutumia external wallets kama bitcoin, paypal etcHiyo system ya kufuatiliwa sana imeanza sasahivi japo zamani ilikuwepo ila sio sana.
Sahizi watakaokuwa wanaweka Pesa ni wale wa mishahara na vilaki laki ndio watabaki kutumia bank ila wafanyabiashara wa mamilioni itakuwa ni "hand to hand'
Hilo swali walitakiwa wakulize wakati wa kuweka sio kutoa.15m? Hata iwe 1b kama una maelezo umezipataje hamna shida.
Imeanza lini hiiMkuu ukitumiwa pesa kwa Sasa hakikisaha una supporting doc zote kama Ni malipo uwe Na doc za Ayo malipo vinginevyo utasumbuliwa sana sana mpaka unaweza chukia,
usipokee pesa toka nje ya nchi without proper doc hii ndo hatari zaidi maana apa ni balaaa hakuna atakaekubali hii pesa iingie kwa acc yako mpaka usubmit doc kwa bank husika
Kwa sasa kiasi chochote cha pesa ukitaka Toa au kuweka usishangae kuulizwa kwanini unaweka pesa nyingi hivi umetoa wapi? Au kwanini unachukua kiasi kikubwa hivi unapeleka wapi hii yote Ni Ku hakikisha bank zina comply Na BOT rules and regulations Na pia kuzuia AML
Sent using Jamii Forums mobile app