Je, ni kweli kuwa Wanyama wa Tanzania huenda kupata mimba Kenya kama alivyosema Rais Samia?

Je, ni kweli kuwa Wanyama wa Tanzania huenda kupata mimba Kenya kama alivyosema Rais Samia?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Wanajamvi mwaendeleaje wanangu?

Katika hotuba kwa Bunge na Seneti la Kenya, Rais Samia Suluhu alikaririwa akisema eti Wanyama wa Tanzania huenda kupandwa na kupata mimba Kenya na kuzalia Tanzania.

Unaitafsirije kauli hii ambayo inaweza kuzua utata hata udume, ujike na kudharauliana?

Je, Wanyama wa Kenya wakija Tanzania hawapati mimba?

Kunani Rais Samia anawapa zaidi wastahilicho Wakenya?
 
Kama ni kweli sioni tatizo hapo,AGAIN middle class wetu wanafikiri utadhani wana minyooo ndani ya ubongo,kama hilo linafanyika la wanyama kupata mimba kenya na kuzaliwa kwenye ardhi ya Tanzania ni science au ndio tumeathirika hivi na suala la utawala DUME!
 
Wale nyumbu wanaohama kwa msimu kutoka serengeti to masai mara huwa wanafuata huduma ya madume, wakishatosheka wanarudi nyumbani na mzigo tumboni.

Pia Tembo hutoka mbuga ya Taveta Kenya kutafuta wachumba wanaopatikana KINAPA mlimani Kilimanjaro, wakikamilisha kazi yao hurudi nyumbani kukusanya "bando" kwa ajili ya mwaka unaofuata.

Watu waliopo Rombo wanajua athari ya Tembo hao vizuri maana mazao hushambuliwa na pengine wananchi huuawa.
 
Zilongwa Mbali Zitendwa Mbali
Ni Kama Alivyosema Kupiga Kidole
Kunogesha Tu
 
Ni kweli kabisa wanyama na hata ndege pia huhama makazi ili kwenda kupata watoto kutokana na hali ya hewa na utafutaji wa chakula kama majani, maji na wadudu kwa ajili ya mbegu mpya FACT

Baadhi ya ndege husafiri maili nyingi sana
IMG_0916.jpg
 
Ni kweli kabisa wanyama na hata ndege pia huhama makazi ili kwenda kupata watoto kutokana na hali ya hewa na utafutaji wa chakula kama majani, maji na wadudu kwa ajili ya mbegu mpya FACT

Baadhi ya ndege husafiri maili nyingi sana
View attachment 1774895
Animal migration is to and fro but not one way or for only one reason. Kenyan animals can be impregnated in Tanzania and vice versa but not as it has been punned by SSH.
 
Ufafanuzi tafadhali
Ufafanuzi ndio huo..unataka ufafanuzi gani Tena?! Nyumbu wanakwenda Kenya kudungwa Mimba na wanarudu TZ kuzaa...interesting...lakini pengine ingewekwa hivi: wanyama hao wanakwenda Kenya wanafanyana huko na wakirudi TZ wanazaa...ukisema kuwa wanakwenda Kenya kudungwa Mimba it is as if midume iko huko Kenya inasubiri majike kutoka TZ na kuyadunga Mimba....katika siasa you have to be very careful with words...anyway that (by our Mama) was with a light touch...😂😀😂😀
 
Kenya ni ndugu zetu wa damu thus walituzika walishusha bendera nusu mlingoti na Kenyatta alikuja kutuomboleza.
 
Wanaenda kupigwa "pipe"Kenya wanarudi kuzalia Bongo. Freshi tu hamna noma,Kwani wao wanyama wanasemaje?
 
Animal migration is to and fro but not one way or for only one reason. Kenyan animals can be impregnated in Tanzania and vice versa but not as it has been punned by SSH.
... breeding season ni kipindi wakiwa Kenya; Rais yuko sahihi japo haina maana wakiwa Tanzania hawapandani; la hasha but majority of matings occur in Kenya. Hiyo ni nature na hakuna wa kuibadilisha hata kama tusingependa iwe hivyo!
 
Back
Top Bottom