Salaam, shalom!!
Nimesoma kitabu kimoja kinaenda Kwa Jina la (Waebrania 7:3), kwamba Kuna mtu anaitwa MELKIZEDEKI, Ambaye amefananishwa na YESHUA / YESU/JESUS,Kwa sifa zake, kwamba Hana baba wala mama, Wala Hana mwanzo au mwisho wa siku zake, ni WA milele🤔
Tujadiliane hapa kiundani, Hawa wasemao Maria ni mama wa Mungu, wametoa wapi maneno haya?
Na wanaenda mbali kumuomba Maria awaombee kana kwamba Maria ana ushirika na Mungu katika maamuzi!!
Karibuni, mihemko tuweke pembeni🙏
Nimesoma kitabu kimoja kinaenda Kwa Jina la (Waebrania 7:3), kwamba Kuna mtu anaitwa MELKIZEDEKI, Ambaye amefananishwa na YESHUA / YESU/JESUS,Kwa sifa zake, kwamba Hana baba wala mama, Wala Hana mwanzo au mwisho wa siku zake, ni WA milele🤔
Tujadiliane hapa kiundani, Hawa wasemao Maria ni mama wa Mungu, wametoa wapi maneno haya?
Na wanaenda mbali kumuomba Maria awaombee kana kwamba Maria ana ushirika na Mungu katika maamuzi!!
Karibuni, mihemko tuweke pembeni🙏