Je, ni kweli kwamba Israel ndiyo inaongoza kuwa na mfumo imara wa kiulinzi duniani?

Je, ni kweli kwamba Israel ndiyo inaongoza kuwa na mfumo imara wa kiulinzi duniani?

Nico1

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
824
Reaction score
301
Wakuu heshima kwenu,

Naomba kufahamu mfumo wa ulinzi wa Israel,teknolojia kwenye upande wa uzalishaji wa silaha nzito na uwezo wake wa kijeshi kiujumla duniani.

Ni hayo tuu wadau.
 
Waulize wahasimu Iran. Kwanini wanawaogopa kufa mtu
 
Israel what I see ni jamii ambayo wanaishi kwa hofu zaidi duniani
 
Wanamfumo mzuri wa ulinzi. Pia technologia nyingine nyingi wana share na US. Kwani wanasayansi wakubwa wa US ni jewish blood. So it is very easier to transfer to Israel if needed. But mostly wanakuwa na viwanda vyao huko huko US. Mfano viwanda vya silaha na metallurgical Industries.
 
Wakuu heshima kwenu, naomba kufahamu mfumo wa ulinzi wa israel,teknolojia kwenye upande wa uzalishaji wa silaha nzito na uwezo wake wa kijeshi kiujumla duniani. Ni hayo tuu wadau

Hujui kuwa Waisrael ni balaa kwa technology ndo maana Hitler aliwatumia sana na hata baada ya vita ya pili ya dunia USA na Russia waligawana wale wanasayansi waliokuwa German ndo likawa chimbuko la vita baridi. Na ndo maana USA na Russia kila mmoja kwa kummiliki waha wanasayansi wa kiisrael wanatengeneza siraha na kumili technolojia kuliko inchi yoyote duniani
 
Hujui kuwa Waisrael ni balaa kwa technology ndo maana Hitler aliwatumia sana na hata baada ya vita ya pili ya dunia USA na Russia waligawana wale wanasayansi waliokuwa German ndo likawa chimbuko la vita baridi. Na ndo maana USA na Russia kila mmoja kwa kummiliki waha wanasayansi wa kiisrael wanatengeneza siraha na kumili technolojia kuliko inchi yoyote duniani
asante kwa maelezo mkuu
 
nchi inayoongoza kwa mfumo imara wa kiulinzi ni russia akifuatiwa na us
 
Hujui kuwa Waisrael ni balaa kwa technology ndo maana Hitler aliwatumia sana na hata baada ya vita ya pili ya dunia USA na Russia waligawana wale wanasayansi waliokuwa German ndo likawa chimbuko la vita baridi. Na ndo maana USA na Russia kila mmoja kwa kummiliki waha wanasayansi wa kiisrael wanatengeneza siraha na kumili technolojia kuliko inchi yoyote duniani

Hitler aliwatumia wayahudi kama vibarua tu na ndio maana aliwateketeza.Wataalamu walikuwa wajerumani wenyewe kama kina Von Braun waliyokuja kuisaidia USA kwenda anga za mbali .
 
Israel wapo vizuri na ndio tishio duniani na Iran
 
Wako vizuri sana hasa Cyber Security, wanaongoza! Nico1
 
Last edited by a moderator:
Hitler aliwatumia wayahudi kama vibarua tu na ndio maana aliwateketeza.Wataalamu walikuwa wajerumani wenyewe kama kina Von Braun waliyokuja kuisaidia USA kwenda anga za mbali .

Kijana acha kupotoka huji kuwa hata huyo mwanaanga asili yake ilikuwa Israel? Jiulize kwanini baada ya vita ya pili ya dunia America ana Russia zimekuwa superpower interms of military technology.
 
navyosikia wanaotengeneza silaha urusi na us ni hao hao jews na eti wako wengi nje kuliko waliopo nchini kwao israel.. sasa sijui ni story tu
 
Soam historia ya kutengenezwa magari marekani hiyo technolojia waliitoa wapi na huyo aliyewauzia alikuwa ni nani kutoka nchi gani!

Hitler aliwatumia wayahudi kama vibarua tu na ndio maana aliwateketeza.Wataalamu walikuwa wajerumani wenyewe kama kina Von Braun waliyokuja kuisaidia USA kwenda anga za mbali .
 
Kijana acha kupotoka huji kuwa hata huyo mwanaanga asili yake ilikuwa Israel? Jiulize kwanini baada ya vita ya pili ya dunia America ana Russia zimekuwa superpower interms of military technology.

Acha uongo najua ninachoandika ,Werner Von Braun ni mjerumani pure nenda kagoogle kwa msaada zaidi.
 
Soam historia ya kutengenezwa magari marekani hiyo technolojia waliitoa wapi na huyo aliyewauzia alikuwa ni nani kutoka nchi gani!

We hujui lolote, magari marekani unajua yameanza kutengenezwa lini? unaijua Model T ya Henry Ford ?halafu nitajie mwanasayansi mmoja tu wa wakiyahudi aliyefanya kazi na Hitler.
 
mbona walikimbizwa na hizbullah. Hao jamaa huwa hawapendi kufa.
 
mbona walikimbizwa na hizbullah. Hao jamaa huwa hawapendi kufa.

Hezbollah waliisumbua sana Israel. Unaweza kugoogle: Israel Hezbollah War! Halafu angalia Casualties na Loss kila upande, utagundua shughuli ilikuwa pevu kwa kila upande.
 
hujui kuwa waisrael ni balaa kwa technology ndo maana hitler aliwatumia sana na hata baada ya vita ya pili ya dunia usa na russia waligawana wale wanasayansi waliokuwa german ndo likawa chimbuko la vita baridi. Na ndo maana usa na russia kila mmoja kwa kummiliki waha wanasayansi wa kiisrael wanatengeneza siraha na kumili technolojia kuliko inchi yoyote duniani

nenda kasome "operation paperclip" halafu ndio uje kudanganya watu hapa.
 
Hezbollah waliisumbua sana Israel. Unaweza kugoogle: Israel Hezbollah War! Halafu angalia Casualties na Loss kila upande, utagundua shughuli ilikuwa pevu kwa kila upande.

hapohapo kwenye google andika Hizbollah defeated izrael.

Ndio utakapojua mtoto yake nepi.
 
Back
Top Bottom