Je, ni kweli kwamba Israel ndiyo inaongoza kuwa na mfumo imara wa kiulinzi duniani?

Je, ni kweli kwamba Israel ndiyo inaongoza kuwa na mfumo imara wa kiulinzi duniani?

Mbona kama ni pana sana tunapoongelea ulinzi tunaanzia wapi mpaka wapi????!!!!!
Uwezo wa kupambana??????
Kushambulia???!!
Kujilinda???!!!
Kuchota taarifa???!!Huku zako hazitoki???!!!

Yaweza kuwa wazuri sana kwenye mission execution lakini wakawa sio best kwenye info gathering and infiltration kwa mfano!!!!!!!!
Na wanaweza kuta nchi nyingine wazuri sana kwenye infiltration na info gathering ila wao sio on ground best ranked in execution bali wanatumia man made political or economic crisis to defeat opponents!!!!!!!Kwa msaada say wa IMF na WB in combo with economic hitmen sasa kusema nchi fulani ndio top ranking sidhani kama ni rahisi na sahihi!!!!

Cc, Swat, mossad007 Field Marshal es, Moshe Dayan, John Kachembeho
 
Last edited by a moderator:
Mbona kama ni pana sana tunapoongelea ulinzi tunaanzia wapi mpaka wapi????!!!!!
Uwezo wa kupambana??????
Kushambulia???!!
Kujilinda???!!!
Kuchota taarifa???!!Huku zako hazitoki???!!!

Yaweza kuwa wazuri sana kwenye mission execution lakini wakawa sio best kwenye info gathering and infiltration kwa mfano!!!!!!!!
Na wanaweza kuta nchi nyingine wazuri sana kwenye infiltration na info gathering ila wao sio on ground best ranked in execution bali wanatumia man made political or economic crisis to defeat opponents!!!!!!!Kwa msaada say wa IMF na WB in combo with economic hitmen sasa kusema nchi fulani ndio top ranking sidhani kama ni rahisi na sahihi!!!!

Cc, Swat, mossad007 Field Marshal es, Moshe Dayan, John Kachembeho

kweli kabisa kuna watu wako vizuri kwenye spying na wizi wa teknolojia za wenzao hapa mrusi kwenye spying ni mzuri sana hasa wakati wa USSR ndo ilikuwa sifa yake.America ni mwizi wa teknolojia ukiandaa plan work yako usishangae ukisikia America katoa kitu kama chako.wengine ni wazuri kwenye defense mrusi kapiga hatua sana upande huu.kuchambua kwamba flani ndio imara huamriwa na vita Adolph aliona ana kila kitu na kila sababu yakushinda ila mwisho alipigwa
 
Last edited by a moderator:
nchi inayoongoza ni mmarekani afu mrusi, israel wanajitahidi sema sio kama story za mtaani watu wanavoipa sifa, watu wanaongeza chumvi wakiwa wanaongelea israel simply na hii inachangiwa na vitu vidogo vidigo kama habari za israel kwenye bible etc... afu tusiongelee jewish ambaye yuko marekani tutakua tunakosea kusema ni muisraeli, yule ni mmarekani, wengi wamezaliwa marekani, wana uraia wa marekani, alichonacho ni ile gene tu ya muisraeli, hata ukisemaapigane vita hatoiambua israel hata kidogo...
 
Anzia hapa kutoa comments, ili picha linoge . . . Matapeli sana hawa Israel
 
wangewezaje kufanya kazi na mtu ambaye ndo alikua anawaua na kuwapeleka kwenye concentration camps?

Leo hii mimi na wewe tukipigana vita nikaja nyumbani kwako nakukuta una binti mzuri wa kike ntamchukua kwa nguvu nakumfanya mke wangu.hitler kuua waisraeli haikumaanisha hakuwa hata na mmoja kwenye shughuli zake.kama utaangalia fuhrer hakuwa mtu wakulea ujinga vile vile alipenda mtu anayeelewa kazi yake.unadhani mtu mwenye uwezo wakumsukia hand bomb kwa betri ya taa alimuua? Aliwatumikisha ili apate lake.na hata hivyo vita kati ya abushir na mjerumani hakukuzuia baadhi ya watanganyika kuwa ma puppet....
 
Jamani acheni kuumiza akili,kuhusu teknologia ya Israel,kiulinzi jamaa wqpo vizur sana,na kuhusu,Vita ya Israel & Hezbollah ,jaman wa Israel ni balaa ,walikipoteza kijiji kimoja hapa nilipo ni history imebaki,southern Lebanon,kinaitwa NAQOURA,Kisa ni mgambo mmoja wa Hezbollah aliirushia Kombora ( RPG) meli ya Israel kwenye pwani ya Naqoura,ambayo ni 3.5 km kuingia Israel,zaid ukitaka picha,nilizopiga,za technica fence,na ukuta,ni pm,
 
OLESAIDIMU that was brilliant say.. micro X i appreciate ur understanding too.. U guys njooni jeshini bwana km hamja enroll. Infact kila taifa lina sifa yake linapokuja swala la uhodari, uwezo, nk. Ubsurd but a fact to put here when u talk of Artic War there are no best people like the Fins (Finland).. yes Fins.. fuatilia role yao kipindi cha Russo Fin War.
From 1938-45 German had the best infantry in the World under Generals like Erwin Van Rommel and Heinz Guderian.. Leo tunaambiwa Brits are good but yet u have no indication of callin them the best in the world... US had the formidable Airforce by 1945 to date but yet they lost 40 B-52 in Vietnam and hundreds of them died and yet the failed the war... U cant call them the best especially with their Afghan withdrawal.
Israel have the most experienced army in combat against terrorism lakin sio kwamba ndio the best army in the world. Wao ndio wa kwanza ku escort ndege zao El Al na makomandoo wengne wakafuatia. Mabas ya abiria yana vifaa vya kudetect mabomu kwa msafiri kabla hajapanda.. Wao ndio pioneers wa AUV hii yote ni experience waliyoipata from their long fights against "terrorism". South Africa have the most astonishing Artillery in the world the G-52 and the Swedish have the Archer hii ni mizinga home made ambayo US na Russia would dream of being the first to made ila wamepitwa hapa.
As to who is the best in the world is yet to be known it depends with category, uhodari wa askari mfano west hawapendi askari wao wapoteze maisha lakin sisi tunafundishwa kufa ni sehemu ya shujaa wako kwa taifa sasa askar asiyetaka kufa hawez kuwa hodari kwenye mapambano hapa ndipo Israel anapokuja front runner.. they die to defend their soil.. Vietnamesse and Koreans died in thouthands and yet they saved their Land. Lakin pia apart from ushujaa wa askar kuna vifaa na uchumi.
 
Mmi nawakubali watu walsrael top brass yaUÑ including SG B MOON inalindwa nawatu from lsrael hakuna chamuamerica au muafrica. Jamaa walituvuruga akali alipokuja B Moon tz naformation zakumupokea
 
Sidhani kama israel wapo juu kihivyo ila wanaishi kwa back up ya US
 
Leo hii mimi na wewe tukipigana vita nikaja nyumbani kwako nakukuta una binti mzuri wa kike ntamchukua kwa nguvu nakumfanya mke wangu.hitler kuua waisraeli haikumaanisha hakuwa hata na mmoja kwenye shughuli zake.kama utaangalia fuhrer hakuwa mtu wakulea ujinga vile vile alipenda mtu anayeelewa kazi yake.unadhani mtu mwenye uwezo wakumsukia hand bomb kwa betri ya taa alimuua? Aliwatumikisha ili apate lake.na hata hivyo vita kati ya abushir na mjerumani hakukuzuia baadhi ya watanganyika kuwa ma puppet....

Hitler was a special case, everything to him whether favarouble or anofavourable to him it meant an opportunity. kwa hiyo haiwezi kuelezea ni kwa nini wayahudi walimsaidia ama kwa kutaka au kwa kushinikizwa

Naona avatar yako ni ya mzee Carl Max labda unaweza kusaidia kuelezea hii phenomena ya haya mauaji na huyu mtu hasa ni kitu gani alikua nacho nyuma ya pazia kwa kuua waisrael maana alisema wao ndo wanawafanya wajerumani wawe dhaifu. mpaka leo sijui kabisa motive ya mauaji yale na hata tafiti mbalimbali hazijatoa majibu ya kwa nini hasa Hitler aliwaua wayahudi
 
OLESAIDIMU that was brilliant say.. micro X i appreciate ur understanding too.. U guys njooni jeshini bwana km hamja enroll. Infact kila taifa lina sifa yake linapokuja swala la uhodari, uwezo, nk. Ubsurd but a fact to put here when u talk of Artic War there are no best people like the Fins (Finland).. yes Fins.. fuatilia role yao kipindi cha Russo Fin War.
From 1938-45 German had the best infantry in the World under Generals like Erwin Van Rommel and Heinz Guderian.. Leo tunaambiwa Brits are good but yet u have no indication of callin them the best in the world... US had the formidable Airforce by 1945 to date but yet they lost 40 B-52 in Vietnam and hundreds of them died and yet the failed the war... U cant call them the best especially with their Afghan withdrawal.
Israel have the most experienced army in combat against terrorism lakin sio kwamba ndio the best army in the world. Wao ndio wa kwanza ku escort ndege zao El Al na makomandoo wengne wakafuatia. Mabas ya abiria yana vifaa vya kudetect mabomu kwa msafiri kabla hajapanda.. Wao ndio pioneers wa AUV hii yote ni experience waliyoipata from their long fights against "terrorism". South Africa have the most astonishing Artillery in the world the G-52 and the Swedish have the Archer hii ni mizinga home made ambayo US na Russia would dream of being the first to made ila wamepitwa hapa.
As to who is the best in the world is yet to be known it depends with category, uhodari wa askari mfano west hawapendi askari wao wapoteze maisha lakin sisi tunafundishwa kufa ni sehemu ya shujaa wako kwa taifa sasa askar asiyetaka kufa hawez kuwa hodari kwenye mapambano hapa ndipo Israel anapokuja front runner.. they die to defend their soil.. Vietnamesse and Koreans died in thouthands and yet they saved their Land. Lakin pia apart from ushujaa wa askar kuna vifaa na uchumi.

Bipartite partners mossad007!!!!!!
Salama lakini kaka.....................kwa upande huu pia poa tu mkuu!!!!!
 
Last edited by a moderator:
We hujui lolote, magari marekani unajua yameanza kutengenezwa lini? unaijua Model T ya Henry Ford ?halafu nitajie mwanasayansi mmoja tu wa wakiyahudi aliyefanya kazi na Hitler.

Mbona umesahau kuwa marekani ilikuwa koloni la Uingereza hivyo basi teknologia yote ambayo Marekani walitumia kabla ya vita vya 1 ni Mwingereza
 
Hitler was a special case, everything to him whether favarouble or anofavourable to him it meant an opportunity. kwa hiyo haiwezi kuelezea ni kwa nini wayahudi walimsaidia ama kwa kutaka au kwa kushinikizwa

Naona avatar yako ni ya mzee Carl Max labda unaweza kusaidia kuelezea hii phenomena ya haya mauaji na huyu mtu hasa ni kitu gani alikua nacho nyuma ya pazia kwa kuua waisrael maana alisema wao ndo wanawafanya wajerumani wawe dhaifu. mpaka leo sijui kabisa motive ya mauaji yale na hata tafiti mbalimbali hazijatoa majibu ya kwa nini hasa Hitler aliwaua wayahudi

Kwanza hitler aliishi maisha magumu.kaishi jela wataalamu wanasema mtoto anayepigwa na baba yake mara moja kwa wiki ana hatari ya kuwa anampiga mtoto wake atakayemzaa kila siku.

Baada ya vita wajerumani waliishi maisha magumu mno kutokana na pesa walizopoteza kunyang'anywa makoloni na wakapewa mzigo mkubwa kama wao ndio wa initiator na wakaambiwa wagharamie vita.Versaille treaty iliwaumiza mno.kwenye machungu yote haya si hitler tu bali asilimia kubwa ya wajerumani waliamini jews waliwasaliti na ndio chanzo cha kushindwa vita.hiyo ni sababu kuu ya hitler kuwachukia Jewish people.vile vile Jews walikuwa wazuri class hivyo walikuwa na positions nzuri pamoja na kuwa na hela nyingi.familia kama za Rothschild ambayo mpaka leo ni familia tajiri zaidi labda ipitwe na rocafellers ilikuwa ni moja wapo kati ya familia za wa jew waliojikusanyia fedha toka kwenye banks na financial institutions nyingine.hili liliwanyima usingizi hitler na wengine unaweza jiuliza hii ikoje.haina tofauti na south Africans ambao wanawaua watu toka nje kwakuwa wanaziba nafasi za ajira.hitler alikataa kuwa kwenye umaskini kisha akawachekea matajiri waliopata pesa kwa migongo ya watu walioteseka.hata mimi nisingekubali japo kuua siwezi.jingine linalosemwa ni juu ya kutaka kuangamiza kizazi cha Jews na kuacha pure German katika ardhi ile.lakini ukiangalia hitler mwenyewe si mjerumani ni wa kutoka Vienna sasa sijajua juu ya vipi hii inakuwa.vile vile inasemekana bibi yake alikuwa Jewish means hata yeye sio pure ki hivyo.....
 
Back
Top Bottom