Je ni kweli kwamba uliemtoa B.K huwezi kuachana nae??

Je ni kweli kwamba uliemtoa B.K huwezi kuachana nae??

Hata mie wala simfeel. In fact I hate him since he took advantage of my innocence! Labda wale ambao wana anza hayo mambo wakiwa 25 plus ndio wanaweza kukumbuka.

una maana ulianza ukiwa mtoto! Duh ulibakwa! Pole sana
 
Hakuna ukweli wowote hapo dogo,ukikua utathibitisha hili!
 
Kama umri bado jitahidi kutafuta mkuu, make sure unamwaproach anakuwa na aibu, hawezi kukuangalia usoni, mgumu wa kutoa kiss,ana mambo ya kitoto toto n.k hapo utakuwa ume-win

We hujui kitu kabisa hapa, nimewai kutumia formulae yako nikalamba mchanga, siku ya kwanza alikuja hadi chumba akawa kama unavyosema nikajua sealed, nikamwambia aje Dar nikampa nauli ya ndege, nipotangulia Dar akanipigia simu ebu nitumie tena hapo elfu hamsini nimwachie mtoto na house girl! sure nilishangaa sana baada ya kuonana nae nika mdadisi nikafahamishwa alipachikwa mimba form II! baba akamfukuza home anaishi na bibi.

wakati halikuwa hajui kila kitu na ukimshika anaruka na kuomba mchezo uharishwe siku nyingine na uwanja mwingine.
 
Yeah ndivyo mnavyodanganyana!!
Acheni kuhalalisha tabia za ajabu ajabu maana ndivyo wake na waume za watu wanavyotoka nje ya mahusiano yao kwa visingizio vya kipuuzi kama hivyo!!Ingekua ni kweli wa mwanzo wangekua hawaachani kabisa!!


Dah ndo maana nilikufungulia skredi Lizzy, Una busara sana. My heart dictated to YOU!!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-rose:
 
Hujambo dearest,ni utoto tu unamsumbua akikuwa ataacha mi watatu niliewatoa hawataki hata kuniona lol!

We Uporoto01 wale wajukuu sangu usiwalete tena nyumbani, sasa utawalea mwenyewe watoto wako.
 
We hujui kitu kabisa hapa, nimewai kutumia formulae yako nikalamba mchanga, siku ya kwanza alikuja hadi chumba akawa kama unavyosema nikajua sealed, nikamwambia aje Dar nikampa nauli ya ndege, nipotangulia Dar akanipigia simu ebu nitumie tena hapo elfu hamsini nimwachie mtoto na house girl! sure nilishangaa sana baada ya kuonana nae nika mdadisi nikafahamishwa alipachikwa mimba form II! baba akamfukuza home anaishi na bibi.

wakati halikuwa hajui kila kitu na ukimshika anaruka na kuomba mchezo uharishwe siku nyingine na uwanja mwingine.

Mkuu Nyege zako ndo zilikuponza, Kitu kibichi huwezi pewa baada ya wiki mbili, lazima utazungushwa more than 9 to 12 months na inabidi umsome mapema sana nini anapenda ili umpate na zaidi ujaribu kukaa nae sehemu za giza kwa muda mrefu sana. Jitahidi mkuu, usikate tamaa. LOL
 
Mi sijui hayse,mi sikubahatika kumtoa girl bi**ra

Pole sana mkuu,utaendelea kuchakachuliwa mpaka mwisho nway si mbaya sana. Abiria chunga mzigo wako na kumbuka ukimwi unaua.
 
aaaahhhhh mi siachi ...... kabisa wa kwanza hata wa sasa yoyote yule niliyempitia akija kwangu safi tu .......ila lazima tucheck afya
 
Poleni na hangover za wkend huku mkisubiri hangover 2 next week inatoka. Tukiachana na hayo, ni kwamba nilikuwa na girlfriend ambae mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kumake nae love na tukaachana kama miaka 3 iliyopita, Jana nimeonana nae na jioni akanitext anaomba kurudia game tena na mimi nimevutika nione amekuwaje now. Je hii inadhihirisha kuwa waliooneshana ukubwa hawaachani au ni nyeg* zetu tu ndo zinatusumbua?.

Mlitaka kupunguziana protini tu hamna lolote lingine...aliyeni B.K. sijui kafia wapi, hata nikikutana nae sidhani nitachemka!
 
yeah ofcoz kumkumbuka it must and when u met with her /him lazima mjikumbushie hata kama kaolewa
 
kaka usitafute maradhi tu,hapo unajiendekeza tu,lkn watu wakiachana wameachana,na wakitaka kurudiana ni maamuzi yao tu.kuonyeshana ukubwa sio kigezo.
 
Niko nae is it means im lucky? naona wengi waliachana na watu wao wa kwanza
 
So ambao hatujafanya tusithubutu maana wenzi wetu watarajiwa kama used wataishiwa kuchakachuliwa?
 
Back
Top Bottom