Hata mie wala simfeel. In fact I hate him since he took advantage of my innocence! Labda wale ambao wana anza hayo mambo wakiwa 25 plus ndio wanaweza kukumbuka.
Kama umri bado jitahidi kutafuta mkuu, make sure unamwaproach anakuwa na aibu, hawezi kukuangalia usoni, mgumu wa kutoa kiss,ana mambo ya kitoto toto n.k hapo utakuwa ume-win
Hahahahah...The boss..my BOSS umepata kila kitu mpaka mpiganaji ikibidi!!
Yeah ndivyo mnavyodanganyana!!
Acheni kuhalalisha tabia za ajabu ajabu maana ndivyo wake na waume za watu wanavyotoka nje ya mahusiano yao kwa visingizio vya kipuuzi kama hivyo!!Ingekua ni kweli wa mwanzo wangekua hawaachani kabisa!!
We hujui kitu kabisa hapa, nimewai kutumia formulae yako nikalamba mchanga, siku ya kwanza alikuja hadi chumba akawa kama unavyosema nikajua sealed, nikamwambia aje Dar nikampa nauli ya ndege, nipotangulia Dar akanipigia simu ebu nitumie tena hapo elfu hamsini nimwachie mtoto na house girl! sure nilishangaa sana baada ya kuonana nae nika mdadisi nikafahamishwa alipachikwa mimba form II! baba akamfukuza home anaishi na bibi.
wakati halikuwa hajui kila kitu na ukimshika anaruka na kuomba mchezo uharishwe siku nyingine na uwanja mwingine.
Poleni na hangover za wkend huku mkisubiri hangover 2 next week inatoka. Tukiachana na hayo, ni kwamba nilikuwa na girlfriend ambae mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kumake nae love na tukaachana kama miaka 3 iliyopita, Jana nimeonana nae na jioni akanitext anaomba kurudia game tena na mimi nimevutika nione amekuwaje now. Je hii inadhihirisha kuwa waliooneshana ukubwa hawaachani au ni nyeg* zetu tu ndo zinatusumbua?.