Ngoma nzuri sana ila ukisikiliza interview ya dotto magariTuache utani kanyimbo kana vaibu kudos kwao.
Viongozi wa hamasDoto magari ndio nani ? Lava lava ndio nani pia ?
Inasemekana hawa ndio chanzo cha mafuriko kule HANANG......walienda kutambika mliman licha ya kukatazwa sana na wazeeDoto magari ndio nani ? Lava lava ndio nani pia ?
Au ndio wamesababisha vita Hamas huko israelInasemekana hawa ndio chanzo cha mafuriko kule HANANG......walienda kutambika mliman licha ya kukatazwa sana na wazee
Watu maarufu wenu wa bongo [emoji1]Doto magari ndio nani ? Lava lava ndio nani pia ?
Dotto Magari km jina lake linvyojieleza ni mtoto wa mzee Magari km unamfahamu muigizaji wa zamani bongo movie swaiba yake marehemu Kanumba na Ray ambae siku hizi anaishi Marekani kifupi dtto ni mtt wake wa kwanzaLavalava namjua, ni kijana wa hapo WCB. Ila uyo Dotto magari sasa, ni nani wazee?