Baada ya lavalava kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha billnas, #beernyama#, dotto magari amakuja juu baada ya msemo wake mpya wa #hapa ipo# kutumika kwenye ngoma hiyo.
Kwenye interview aliyofanyiwa na carry story TV.
Aliwaponda sana wasanii hao haswa lava lava na kusema kuwa analala kwenye Gari plus ananuka miguu [emoji2957], na kwamba rizki yake ngumu mpaka akiamka asubuhi anaomba Mungu avae suruali haina mifuko kisa Hana hela.
Kwenu wadau mnaowafahamu vizuri wasanii mje mniambie.
Kwenye interview aliyofanyiwa na carry story TV.
Aliwaponda sana wasanii hao haswa lava lava na kusema kuwa analala kwenye Gari plus ananuka miguu [emoji2957], na kwamba rizki yake ngumu mpaka akiamka asubuhi anaomba Mungu avae suruali haina mifuko kisa Hana hela.
Kwenu wadau mnaowafahamu vizuri wasanii mje mniambie.