[emoji2] Kwahiyo aunde kamati ya ufundi (Mshana jr + Mtu Mzito + Jichawi + Mzizi Mkavu)Na ili mgodi uteme lazima ufanye matambiko ya hatari bila hivo unajipotezea mda
Tena hyo kamati iwe iko vzuri mno. Mi kuna rafiki zangu wako kwahyo business walinisimulia hzo mambo Mpaka ngachoka kabisa[emoji2] Kwahiyo aunde kamati ya ufundi (Mshana jr + Mtu Mzito + Jichawi + Mzizi Mkavu)
Kuna kutoana kafara?Tena hyo kamati iwe iko vzuri mno. Mi kuna rafiki zangu wako kwahyo business walinisimulia hzo mambo Mpaka ngachoka kabisa
Hyo ni kawaida kuleKuna kutoana kafara?
Kwahiyo jamaa ajiandae kuua...Hyo ni kawaida kule
Naomba contact zake plshuyu ni jolo mtaalam wa miamba na ni mkongwe
huyu ni mtu hot sana kule kumpata sio kirahisi hivyo!mara nyingi anakuwa chini na kule netwek hakuna!ila vizuri tembelea kule mtafute tu kwa kumuulizia utampata.ni mtu ana pesa nyingi sana sababu kazi zake anapenda kufanya kwa parcentage mtakachotoa yeye utampatia kiasi fulani na sio kwamba utakuwa unamlipa ili akufanyie kazi zako.huyu ni mtu tajiri sana kuliko unavyomfikiria anaweza kufananishwa na kina manjiNaomba contact zake pls
Mkuu kweli unaelewa vizuri formation ya ya Tanzanite?Tanzanite inapatikana katika kaeneo kadogo sana, kuna posibility kubwa ikafika kipindi tutakosa tanzanite
Hata mzee D yupo vizuri pia.mtafute jamaa anaitwa ruta!huyo ndio anajua kila kitu hapo vinginevyo itakula kwako
So unataka nianze kukuelezea matemperature/ pressure conditions, boudins blah blah, .. Naifahamu vizur,Mkuu kweli unaelewa vizuri formation ya ya Tanzanite?
Huo ni ukweli usio pingika, nimefanya kazi migodini nimeona yasiyo semekaMhhh mimi huwa na wasiwasi sana na maeneo karibu na Uwanja wa ndege kuna sehemu kutakuwa na reserve ya kutosha imefanywa siri na serikali
Unaweza pia ukawa na mtaji mzuri je kuloga pia upo vizuri ? Vipi kuchinja watoto wachanga kwenye mdomo wa shimo ?
Kule ni the strongest ndio wanao survive sio uje na imani zako oh mimi ni mkristo safi au muislamu safi ....
Kwa kifupi ile ni kazi chafu kuliko unavyofikiria hivyo yakupasa na wewe uwe mchafu kweli kweli
Huo ni ukweli usio pingika, nimefanya kazi migodini nimeona yasiyo semeka
Nafurahi kama unajua inapatikana kwenye foldings,na uzuri zaidi unajua mpaka iys favourable conditions of formation.So unataja nianze kuanza kukuelezea matemperature/ pressure conditions, boudins blah blah, .. Naifahamu vizur,
I have been there, nimefanya kazi Kilimanjaro mines limited , mererani block A , research ya kuchukulia degree nimeandikia mererani,
hahahaha nimecheka kwanza ila mimi nimefanya kazi block c miaka ya nyuma akiwa kaburu pale!hahaha nilikuwa security paleTupe angalao kidogo.. Mazingira ya kazi yakoje?
Mkuu nimepiga kazi pale kilimanjaro mines ila mpaka naondoka hakukuwah kuwa na mzigo wa uhakika , ila baada ya kuondoka watu walipiga mizigo ya kufa mmasai aisee...Nafurahi kama unajua inapatikana kwenye foldings,na uzuri zaidi unajua mpaka iys favourable conditions of formation.
Mkuu pale ni pazuri kama umeajiriwa shafti,tena uwe driller ndo possibility ya kukutana na mawe inakua kabwa.Mkuu nimepiga kazi pale kilimanjaro mines ila mpaka naondoka hakukuwah kuwa na mzigo wa uhakika , ila baada ya kuondoka watu walipiga mizigo ya kufa mmasai aisee...
BTW biashara ya kuchimba tanzanite ni biashara kichaa, unaweza hustle miaka 3 unachoma hela tu ila ukapiga mzigo mmoja gharama zako zote zikarudi, sio biashara ya kujaribu hata kidogo kama una mtaji wa mawazo