Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
................haki ya MunguSource : Kweli Tena Nakuambia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
................haki ya MunguSource : Kweli Tena Nakuambia.
Hiyo ni photoshop!! Hana pesa huyo za kuinunua Simba!! Hawezi kumklaribia Mo hata kwa mbali!! Hapo alipo ni maskini tayari!!
Okay sasa wanyama wanasemaje mbon MO yupo pale ni Rais wa heshima?View attachment 2709826
Soma hiyoo
Simba inayokukalishia mwiko nyuma
Sio yule wa kwenye picha mnyamaWanasema unyama ni mwingi unyaaama
Umesema kwamba inayomfanyeje?Simba inayokukalishia mwiko nyuma
Asee mbona David Beckham alinunua Inter MiamiULIWAHI KUONA MCHEZAJI GANI KANUNUA TIMU.
MZEE TUNAKUHESHIMU SANA ACHA KUJIDHALILISHA.
[emoji599] 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆!
Mario Balotelli kuinunua Simba S.C. [emoji1241][emoji837][emoji836]️
◉Kulingana na Balotelli, wanasoka wa Kiafrika wanaocheza Ulaya wana pesa ambazo wanaweza kujenga angalau viwanja vitano vya hadhi ya kimataifa katika kila nchi.
◉"Kwangu mimi, Simba na Tanzania ndizo zinazofaa zaidi katika mradi wangu. Nataka kuona Tanzania ikishinda ligi ya Mabingwa, Kombe la Afrika na kufanya vyema katika Kombe la Dunia la 2026". -alieleza Balotelli
Jamii Check Please Assist
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji599] 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆!
Mario Balotelli kuinunua Simba S.C. [emoji1241][emoji837][emoji836]️
◉Kulingana na Balotelli, wanasoka wa Kiafrika wanaocheza Ulaya wana pesa ambazo wanaweza kujenga angalau viwanja vitano vya hadhi ya kimataifa katika kila nchi.
◉"Kwangu mimi, Simba na Tanzania ndizo zinazofaa zaidi katika mradi wangu. Nataka kuona Tanzania ikishinda ligi ya Mabingwa, Kombe la Afrika na kufanya vyema katika Kombe la Dunia la 2026". -alieleza Balotelli
Jamii Check Please Assist
Wa Chunya, usiwaambie watu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Source:Wikipedia.comLakini huenda kweli ukimtizama saana Balotel ni msafwa mtupu