Sewa Sewa
Member
- Aug 21, 2020
- 37
- 535
Habari zenu Wana wa JamiiForums,
Natanguliza kusema mimi si mwanasiasa, siijui siasa wala itikadi yeyote. Kwanza toka nizaliwe sijawahi kupiga hata kura ndio labda mwaka huu kwa mara ya Kwanza nitachagua viongozi.
Ila Nikiwa Kama kijana wa kileo na mwenye uelewa kidogo wa Mambo, kuna mambo ambayo nashindwa kujua ukweli wake. Mambo hayo Ni Kama ifuatavyo
1.Je, mgombea wa chama Cha mapinduzi anakubalika kwa kiasi gani? Mbona naona wasanii waigizaji karibia wote wakimpigia kampeni?? At mnapiga kampeni kutoka moyoni au Kuna unafiki /kujipendekeza/kutafuta nyazifa/Au Kuna malipo ndani yake??
2. Kila mtu mwenye cheo/mfanyabiashara na mtu maarufu anaonekana kutoa sapoti upande wa CCM, hizo sapoti nizionavyo kwenye mitandao si za uoga wa kwenda kinyume na dola?? Au kweli yanatoka moyoni??
Wanajamii forum naomba mtuambie hali ya huko mtaani, ukweli ukoje. Je mgombea wa CCM anaungwa mkono kwa kiasi gani??. Yani Ile ya kweli ambayo sio unafiki, Ile mkikaa wawili watatu ama kijiweni Hali ikoje?
Weka siasa kando andika kile unachokiona huko kwa majumba yenu na majirani zenu.
Natanguliza kusema mimi si mwanasiasa, siijui siasa wala itikadi yeyote. Kwanza toka nizaliwe sijawahi kupiga hata kura ndio labda mwaka huu kwa mara ya Kwanza nitachagua viongozi.
Ila Nikiwa Kama kijana wa kileo na mwenye uelewa kidogo wa Mambo, kuna mambo ambayo nashindwa kujua ukweli wake. Mambo hayo Ni Kama ifuatavyo
1.Je, mgombea wa chama Cha mapinduzi anakubalika kwa kiasi gani? Mbona naona wasanii waigizaji karibia wote wakimpigia kampeni?? At mnapiga kampeni kutoka moyoni au Kuna unafiki /kujipendekeza/kutafuta nyazifa/Au Kuna malipo ndani yake??
2. Kila mtu mwenye cheo/mfanyabiashara na mtu maarufu anaonekana kutoa sapoti upande wa CCM, hizo sapoti nizionavyo kwenye mitandao si za uoga wa kwenda kinyume na dola?? Au kweli yanatoka moyoni??
Wanajamii forum naomba mtuambie hali ya huko mtaani, ukweli ukoje. Je mgombea wa CCM anaungwa mkono kwa kiasi gani??. Yani Ile ya kweli ambayo sio unafiki, Ile mkikaa wawili watatu ama kijiweni Hali ikoje?
Weka siasa kando andika kile unachokiona huko kwa majumba yenu na majirani zenu.