Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni maonesho ya ujinga na ninyi niwashiriki, ninyi mtakuwa sawa na nyumbu mjinga.Hakuna uchaguzi hiyo October, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Je kwenye ujinga kuna matokeo yoyote yatakuwa kinyume cha ujinga huo?
Akipata hata 25% akatambike , haungwi mkono na yeyote wala taasisi yoyote , hao unaowaona wanakula na kipofuHabari zenu Wana wa JamiiForums
Natanguliza kusema mimi si mwanasiasa, siijui siasa wala itikadi yeyote. Kwanza toka nizaliwe sijawahi kupiga hata kura ndio labda mwaka huu kwa mara ya Kwanza nitachagua viongozi....
Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kumchagua magufuli , hakuna !
Kusema ukweli hakuna labda Kama kura zinapigwa Mitandaoni.Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kumchagua magufuli , hakuna !
ata ccm wote waamie chadema bado mtabaki mnalitukana tu neno ccm.maan amchukii watu mnachukia neno.Hata Uwe Malaika ukishaingia CCM tu hauwezi kukubalika,kumbuka chochote kinachoishi chooni hakiwezi kunukia vizuri.
Kama ni maonesho ya ujinga na ninyi niwashiriki, ninyi mtakuwa sawa na nyumbu mjinga.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wacha nikupuuze, always umoja ni ushindi.Narudia tena, hakuna uchaguzi bali kuna ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Naomba ikae hivyo hivyo kwenye rekodi yako. Ukweli huu unauma lakini ndio hivyo.
Wewe sio mtanzania,? Mbona unawasemea watu umejuaje idadi ya wanaotumia mitandao?Anakubalika sana, tena himu kitandaoni hutapata picha halisi kwa sababu sehemu ya watanzania wanaotumia hii mitandao ni ndogo tu. Ukweli halisi uchunguze kwa watu wasiotumia hii miatandao ambao ndio wengi. Kifupi anakubalika sana
Wacha nikupuuze, always umoja ni ushindi.
Baki na upuuzi wako.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Anakubalika sana, tena himu kitandaoni hutapata picha halisi kwa sababu sehemu ya watanzania wanaotumia hii mitandao ni ndogo tu. Ukweli halisi uchunguze kwa watu wasiotumia hii miatandao ambao ndio wengi. Kifupi anakubalika sana
Tatizo sio kukubalika sana au kidogo bali ni kutaka akubalike kwa asilimia mia jambo ambalo halitakaa litokee duniani maana halijawahi kutokea Tangu enzi za Adam na EvaMgombea wa CCM anakubalika sana.