kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,216
- 1,062
Hana Upinzani huyu Yuko MoshiView attachment 1814089
Hawa ni body tu? au na engene pia? Wanafanya diagnosis?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana Upinzani huyu Yuko MoshiView attachment 1814089
Sukari road, opposit machinjioni. Barabara ya kuelekea TPC
Karibu KIMATARE GARAGE moshi, hautajuta kutufahamu. Google hilo jina kwa picha na mawasiliano zaidi
Wewe ungeuliza tu ni garage gani Arusha au moshi naweza kupaka rangi gari?Habari wadau,
Ninahitaji Fundi rangi mzuri, nimefanya research kati ya watu 8 katika 10 wanasema nipeleke gari Moshi au Arusha sababu wanajua vizuri kupiga rangi.
Je, ni kweli wanapatikana huko tu?
Huyu Shakikeli ni balaa nimeona kazi zake ni mbunifu sanaHata Dar kuna wapiga rangi wazuri. Kuna Shakikeli, mchizi wa Kigamboni, ana mkono wa rangi na ubunifu.
Dar inabaki kuwa juuKwa mafundi ambao sio wababaishaji Moshi ni hakika, gari ikiwa ina tatizo unaelezwa straight na anachosema ndicho hasa na gharama zao ndio zitakuacha taya wazi.
Huku Dar mtu kufunga wishbone bush tu anataka umpe 20K wakati moshi kazi hio hio mtu anaifanya hata kwa buku 5!
Overhaul mtu anakufanyia kwa laki 1 Moshi. Ila hapa Daslam mtu wa overhaul lazma umuandalie hela ya tofali za nyumba nzima. Ndio akufanyie hio kazi na pengine hata asiweze akamtafute mtu mwengine ndio amfanyie hio kazi.
Body works ukiwa na 30K gari wana clear dents zote na kurudishia rangi. Hapa Dar hio 30K ni labour charge tu 😂😂😂
Dar ni sawa ila mafundi wa cheap hapa Dar ni wababaishajiDar inabaki kuwa juu
Watu wanataka kuishi mkuuDar ni sawa ila mafundi wa cheap hapa Dar ni wababaishaji
Hahaha sio kwa soga na visasili kwenye vyombo vya watuWatu wanataka kuishi mkuu
Kama unakipenda chombo chako unapeleka CFAO 🙂🙂Hahaha sio kwa soga na visasili kwenye vyombo vya watu
Hahahahah maisha yakifikia hapo ntaenda ila kwa sasa wacha tuhangaike na akina fundi Hamisi tuKama unakipenda chombo chako unapeleka CFAO 🙂🙂
Hivi kweli Cfao wanakuwa na mafundi bora sana? Maana kuna mmoja namfahamu na mwingine keshastaafu huko, lakini kuna gari uwa wanalikimbia.Kama unakipenda chombo chako unapeleka CFAO 🙂🙂
CFAO wana mafundi wazuri katika level. Nakumbuka zamani sana nilisha enda pale kufanya kama mafunzo flani ya ufundi kutumia cheti changu. Wale tunao ingia na mavyeti makubwa wengi wetu ni vimeo ila pia wenye mavyeti makubwa ukiwakuta deep wapo deep kweli na wengi walipitia. Ila pia pale kuna katabia ka ku specialize maeneo flani, ukimpeleke nje ya eneo lake anakimbiaHivi kweli Cfao wanakuwa na mafundi bora sana? Maana kuna mmoja namfahamu na mwingine keshastaafu huko, lakini kuna gari uwa wanalikimbia.
Samahani Naomba mawasiliano yakeMoshi na Arusha kumebahatika kuwa na ufundi mkubwa wa magari na kampuni kubwa za kukata Cruiser zipo huko kwa mfano Moshi kuna Rajinder na Arusha kuna Hans hao jamaa wamekuwa na mafundi kibao wa kanda hiyo na kama unavyojua jamaa walitrain mafundi kufanya kazi kidunia ya sasa na ndo sababu kubwa mafundi wa mtaani wengi unakuta walipita kweny hiz kampuni kubwa au wamefundishwa na jamaa walopita huko. hii ndo sababu kuna mafundi watundu sana kaskazini sio tu kweny rangi ila hata kuchonga body na upande wa ufundi. kama bado hujapata fundi nijuze nikupe mpare flani yupo arusha huyu anakufata ulipo.. na kazi zake ni kiwango anachukuliwaga hadi nchi jirani.