Je, ni kweli Mpoki hakuhudhuria harusi ya Masanja?

Je, ni kweli Mpoki hakuhudhuria harusi ya Masanja?

Salaam wanajamvi, nimekuwa nikijiuliza sana sababu za Mpoki Mujuni tajiri la kihaya wa ze comedy kwanini hakuhudhuria harusi ya swahiba wake Masanja na sijapata majibu yoyote.

Katika harusi hiyo walihidhuria member wote wa ze comedy wakiongozwa na meneja wao Sekione Davidson lakini cha kushangaza Mpoki hakuwepo wala hajapost kokote si Instagram au Facebook kumpongeza Masanja. Kulikoni? Anayejua tatizo Ni nini atujuze wakuu.
 
Acha shigongo aendeleze umbea na udaku unamlipa, wewe fuata mambo yako, ukijua labda wanatofauti zao utanufaika nini?
 
Salaam wanajamvi, nimekuwa nikijiuliza sana sababu za Mpoki Mujuni tajiri la kihaya wa ze comedy kwanini hakuhudhuria harusi ya swahiba wake Masanja na sijapata majibu yoyote.

Katika harusi hiyo walihidhuria member wote wa ze comedy wakiongozwa na meneja wao Sekione Davidson lakini cha kushangaza Mpoki hakuwepo wala hajapost kokote si Instagram au Facebook kumpongeza Masanja. Kulikoni? Anayejua tatizo Ni nini atujuze wakuu.
uploadfromtaptalk1473973387752.png
kapost insta siku mingi tu mkuu
 
Back
Top Bottom