kawakama
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,299
- 391
Salaam wanajamvi, nimekuwa nikijiuliza sana sababu za Mpoki Mujuni tajiri la kihaya wa ze comedy kwanini hakuhudhuria harusi ya swahiba wake Masanja na sijapata majibu yoyote.
Katika harusi hiyo walihidhuria member wote wa ze comedy wakiongozwa na meneja wao Sekione Davidson lakini cha kushangaza Mpoki hakuwepo wala hajapost kokote si Instagram au Facebook kumpongeza Masanja. Kulikoni? Anayejua tatizo Ni nini atujuze wakuu.
Katika harusi hiyo walihidhuria member wote wa ze comedy wakiongozwa na meneja wao Sekione Davidson lakini cha kushangaza Mpoki hakuwepo wala hajapost kokote si Instagram au Facebook kumpongeza Masanja. Kulikoni? Anayejua tatizo Ni nini atujuze wakuu.