Je, ni kweli Mpoki hakuhudhuria harusi ya Masanja?

Salaam wanajamvi, nimekuwa nikijiuliza sana sababu za Mpoki Mujuni tajiri la kihaya wa ze comedy kwanini hakuhudhuria harusi ya swahiba wake Masanja na sijapata majibu yoyote.

Katika harusi hiyo walihidhuria member wote wa ze comedy wakiongozwa na meneja wao Sekione Davidson lakini cha kushangaza Mpoki hakuwepo wala hajapost kokote si Instagram au Facebook kumpongeza Masanja. Kulikoni? Anayejua tatizo Ni nini atujuze wakuu.
 
Acha shigongo aendeleze umbea na udaku unamlipa, wewe fuata mambo yako, ukijua labda wanatofauti zao utanufaika nini?
 
kapost insta siku mingi tu mkuu
 
Jamani hebu msituchoshe na mambo yenu.Kwani kutokuhudhuria kwake kumepunguza nini?Sasa watu wazima tuanze kuchunguza mambo ya watu jamani like serious????
Shem wangu kumbe siku hizi hupendi ubuyu??[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…