Habari za asubuhi wakuu?
Natumaini tu wazima wa afya, kwa wale wagonjwa polen!!
Neende moja kwa moja kwenye mada! Et wakuu mwanamke akiwa kwenye cku zake ( bleeding), anakuwa na hasira Sana adi kumchukia mmewe/ mpenziwe.
Mimi ni mwanamme nipo katika mahusiano miezi 6 saiz na dada fulan toka sukuma land. Tatzo huyu dada, Kila akiingia tu breeding hataki nimpgie cm Wala kuchart nae ila akishatoka mambo yanakuwa poa kabsaa....!!
Ndo nauliza wakuu hii kitu ipo kwel kibailojia au napigwa changa la macho wakuu!! Nisaidiee wakuu maana jf haijawahi shindwa kitu
Natumaini tu wazima wa afya, kwa wale wagonjwa polen!!
Neende moja kwa moja kwenye mada! Et wakuu mwanamke akiwa kwenye cku zake ( bleeding), anakuwa na hasira Sana adi kumchukia mmewe/ mpenziwe.
Mimi ni mwanamme nipo katika mahusiano miezi 6 saiz na dada fulan toka sukuma land. Tatzo huyu dada, Kila akiingia tu breeding hataki nimpgie cm Wala kuchart nae ila akishatoka mambo yanakuwa poa kabsaa....!!
Ndo nauliza wakuu hii kitu ipo kwel kibailojia au napigwa changa la macho wakuu!! Nisaidiee wakuu maana jf haijawahi shindwa kitu