Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Duh hayaKama hela ni zako, kama una mpenda mkeo..ni wewe. Some stuffs should be private.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hayaKama hela ni zako, kama una mpenda mkeo..ni wewe. Some stuffs should be private.
You must hide your family bob! Don't tempt the devil to tempt you!Duh haya
Mwalimu wa tuishen acha mambo ya uduwanz. Mada imeletwa mezani halafu unaandika fyongo. Changia mada. Mada kama hizi za umbea ni bomba sana zinachangamsha jamvi. Shusha nondo za hatariiii na tema madini yaliyojitosholeza.
Alikuwa anachezea tu qysymy na ndimiAlizaa nae au kashika tu hips hipsiii?
Mkuu hili bado lipo sana kwasababu hamna tukio lengine kubwa limetokea kulifuta hata yule jamaa aliyegongwa na mwendokasi Nick alidhani tukio hilo lingezima lakini wapii.Tushajadili hili tushalimaliza na tunelifunga rasmi.
Achana nalo fanya Mambo mengine.
Hii imeendaaaaaNimeona mivideo kibao Ticktock....afu humu jf mko kimya....Acheni unafki bana...mfxxxxx
Mwalimu wa tuishen acha mambo ya uduwanz. Mada imeletwa mezani halafu unaandika fyongo. Changia mada. Mada kama hizi za umbea ni bomba sana zinachangamsha jamvi. Shusha nondo za hatariiii na tema madini yaliyojitosholeza.
Woodland aka countywide umebaki kushambulia chadema tu kumaliza hasira zako za kuchapiwa. Kesho lema anatinga nchini.
Unaseemajee unaseemajee pah paah pah
King Kong III
Nasemajeee nasemajeee na achapiwe tu 😅 Piga risasi ya kichaga yewomiiii 😅😅Huyo Boya Countrywide kapagawa baada ya kuchapiwa ,muda mwingi anatumia kuisema chadema badala ya kuijenga familia yake na ndiyo maana akamwagwa mazima na joan.
Nasemaje Nasemaje piga bomu la mwisho paaaaaaaah.
Kama ni kweli Bora wametengana maana hawakufunga ndoaUlivyo furahia matatizo ya mwenzako...ndo watanzania Wengi tulivyo... full uchawi
JF sometimes ni kuondoana stress aseMkuu hili bado lipo sana kwasababu hamna tukio lengine kubwa limetokea kulifuta hata yule jamaa aliyegonga na mwendokasi Nick alidhani tukio hilo lingezima lakini wapi.
Ishu ya Masanja alivyochapiwa aliponea pale Mulamula alivyotenguliwa. Watu tukahamisha mazo. Halafu haikukaa sawa precion air ikapata ajali na kuibuka Majaliwa na ndio tukapotezea mazimaa Masanja akapona.
Kusema "Oya" ni uhuni ndugu?Nani unamuita Oya. Unafikiri wote ni wahuni kama ww humu!?
Kamuite Baba yako hilo neno halafu leta mrejeshoKusema "Oya" ni uhuni ndugu?
Oyaa acha porojo mingi jamviniKamuite Baba yako hilo neno alafu leta mrejesho
Kweli kabisa, hawana guarantee....Siku ukija kuelewa mke sio ndugu yako ndio utaacha kuwa serious nao
Yeah sure...ur corrrrrrrrectYou must hide your family bob! Don't tempt the devil to tempt you!