Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 593
- 2,219
Kuna mwazuoni humu huwa anaandika sana kuhusu waislam na uhuru naweza sema mzee said ni mwanahistoria mzuri sana ila kafunikwa koti la udini
Ni hivi Nyerere angekuwa na chuki na hao waislam asingemweka hata huyo mzee mwinyi awe rais mzee kawawa hao kina salim na wengine wengi walikuwa kwenye cabinet yake
Haya turudi kwenye hao wazee wa TANU walikuwa wamejichimbia pale kariakoo kucheza BAO na kukaa vibarazani walikuwa ba elimu gani ya kuwekwa kwenye government wengi ya wale wazee wa kariakoo kielimu walikuw ngumbaru tu....sasa toka lini serikali ingejaza mangumbaru ya kariakoo
Kingine mzee said kipindi cha nyerere kulikuwa kuna ukosefu wa wasomi hivyo popote angeoneka msomi awe mkristo au muislam serikali ilimchukua
Ila kwa bahati mbaya waislam wengi hadi leo hii elimu kwenu sio kipambaumbele japo sijasema kuwa hakuna wasomi ila jamii nyingi za kiislam elimu huwa sio kipaumbele wengi wenu mnawaza kwenda mbinguni kwenda kukutana na mabrika 72 ...yaani elimu akhera ....
So kwa maana hiyo mzee acha kabisa kujifanya una mponda nyerere wakati unajua vizee vingi vya kariakoo miaka ile ya uhuru vilikuwa havina elimu zaidi ya kucheza ma BAO
Waingereza walitaka kuacha nchi kwa mtu mwenye elimu na sio NGUMBARU TU LA KARIAKOO
Kwa maoni yangu nyerere hakuwa mdini maana cabinet yake ilijaa wasomi wa dini zote sifa ilikuwa elimu wa kwanza ndo upewe uwaziri
Najua utasema ooh waislam wasomi walikuwepo kama kina sykes ila nasema walikuwa wachache mno hata ukifanya comparison na wakristo
Haya la mwisho waislam nchi wako 32% wakristo 50% so mzee unaweza ona
Cha mwisho cha nyongeza dini ya kiislam huwa haisupport elimu duni hasa western education .....ndo maana hata hao wazee wa kariakoo elimu walikuwa hawaza zaidi ya elimu ya ngumbaru tu
Hata karume tu wa znz utanisaidia elimu alikuwa hana pia zaidi kujua kusoma na kuandika tu .... pia alikuwa mtu wa malawi na sio mznz
Ni hivi Nyerere angekuwa na chuki na hao waislam asingemweka hata huyo mzee mwinyi awe rais mzee kawawa hao kina salim na wengine wengi walikuwa kwenye cabinet yake
Haya turudi kwenye hao wazee wa TANU walikuwa wamejichimbia pale kariakoo kucheza BAO na kukaa vibarazani walikuwa ba elimu gani ya kuwekwa kwenye government wengi ya wale wazee wa kariakoo kielimu walikuw ngumbaru tu....sasa toka lini serikali ingejaza mangumbaru ya kariakoo
Kingine mzee said kipindi cha nyerere kulikuwa kuna ukosefu wa wasomi hivyo popote angeoneka msomi awe mkristo au muislam serikali ilimchukua
Ila kwa bahati mbaya waislam wengi hadi leo hii elimu kwenu sio kipambaumbele japo sijasema kuwa hakuna wasomi ila jamii nyingi za kiislam elimu huwa sio kipaumbele wengi wenu mnawaza kwenda mbinguni kwenda kukutana na mabrika 72 ...yaani elimu akhera ....
So kwa maana hiyo mzee acha kabisa kujifanya una mponda nyerere wakati unajua vizee vingi vya kariakoo miaka ile ya uhuru vilikuwa havina elimu zaidi ya kucheza ma BAO
Waingereza walitaka kuacha nchi kwa mtu mwenye elimu na sio NGUMBARU TU LA KARIAKOO
Kwa maoni yangu nyerere hakuwa mdini maana cabinet yake ilijaa wasomi wa dini zote sifa ilikuwa elimu wa kwanza ndo upewe uwaziri
Najua utasema ooh waislam wasomi walikuwepo kama kina sykes ila nasema walikuwa wachache mno hata ukifanya comparison na wakristo
Haya la mwisho waislam nchi wako 32% wakristo 50% so mzee unaweza ona
Cha mwisho cha nyongeza dini ya kiislam huwa haisupport elimu duni hasa western education .....ndo maana hata hao wazee wa kariakoo elimu walikuwa hawaza zaidi ya elimu ya ngumbaru tu
Hata karume tu wa znz utanisaidia elimu alikuwa hana pia zaidi kujua kusoma na kuandika tu .... pia alikuwa mtu wa malawi na sio mznz