Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 892
- 683
Hv jamani kwa wale wahenga ni kweli nyerere hakuwahi.kupata majanga ya kupinduka kwa meli,vivuko kama marais wengine wote??yani kwamba nyerere pekee pamoja na kuongoza mda mlefu lakini hakupata pigo kama hili kulingamisha awamu za marais wengine??