Je, ni kweli nyumba mnazoziita contemporary (Hidden roof ) zinapunguza gharama ya kupaua?

Je, ni kweli nyumba mnazoziita contemporary (Hidden roof ) zinapunguza gharama ya kupaua?

Mimi majirani zangu wote waliojenga hivo,zinavuja zote
mafundi washakula hela ya ufundi huwaoni tena

Nililala lodge yakuitwa Password, Tabata Segerea, ndani iko poa kinoma nilishangaa kuona gypsum boards zote ziko tepetepe

asubuhi natoka nachungulia juu naona ni huo mtindo wa roof, nikasema kayakanyaga
 
Inategemeana unaijengaje. Ila ukweli ni kuwa gharama ni ile ile tu.

kama huweki Kenopi na magata ya zege huenda kweli gharama ikapungua. but haitovutia sana.
1665692344093.jpg
 
mafundi washakula hela ya ufundi huwaoni tena

Nililala lodge yakuitwa Password, Tabata Segerea, ndani iko poa kinoma nilishangaa kuona gypsum boards zote ziko tepetepe

asubuhi natoka nachungulia juu naona ni huo mtindo wa roof, nikasema kayakanyaga
Yale mabati ya mgongo mpana hata kwa paa la kawaida sometimes yanavuja, sasa ukiweka hilo paa flat jiandae kufuga kambale.
 
jirani yangu hapa numuonea huruma aisee, yaani kumevuja, umekula ukuta juu mpaka chini, ukuta wote umekua kijani, na hapo hajahamia( hajamaliza pia )
Nafikiri kama baadhi ya wadau wanavyosema hapa ni aina ya ujenzi unaohitaji utaalamu maalumu na wala siyo ujenzi wa mtu anayetafuta kuokoa gharama.
 
Bora ujenge kawaida kuliko kujenga kwa akili ya kuokoa gharama. Ukipotea 'step' utajikuta hiyo gharama unayoikwepa itazidi kwa kufanya marekebisho ya mara kwa mara.
Mbaya zaidi mafundi wengi hawasemi ukweli ili waipate kazi.

Na akili za wabongo wengi anakuita ww ufanye mahesabu then anawaita wengine ili apime naninmwenye gharama ya chini.

Fundi anakupa hesabu ya chini ili umpe kazi.na ww kama hujui ishu za ujenzi bila kureason unampa kazi.
 
Hidden roof houses ni Kama hizi hapa

View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840

View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840

Ni kweli kabisa hidden roofing hupunguza gharama ya mbao kwa zaidi ya 80% na hupunguza pia gharama ya bati kwa zaidi ya 70%.
Endapo idadi ya mbao inapopungua basi pia gharama za misumari bati na misumari mbao hupungua kwa asilimia zile zile pia.

Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa Cha mbao na bati gharama ya fundi mpauaji nayo itapungua.

NAMNA YA KUJENGA NYUMBA ZA AINA HII
1. Hidden roof maandalizi yake yanaanzia tangu pale msingi unapojengwa.
- zitaandaliwa mapema kabisa njia za kupitisha pipe za maji
- Mchoro lazima uoneshe mapokeo ya maji Toka kwenye bati (gata)
- Hidden roof jengo lake linakuwa na vikolombwezo vingi, ambavyo vinahitaji umakini mkubwa kuvijenga.
2. Gata. HII ni mifereji ya kupitisha maji inayojengwa dalini. NA HAPA NDIO PANAHITAJI UMAKINI MKUBWA SANA. ukikosea hapa utaichukia nyumba Yako mile.
Ili nyumba hii isivuje lazima paa zake ziwe ndogo ngogo, na ili paa ziwe ndogo dogo ni lazima mizunguko ya gata iwe ya kutosha. Kuweka mizunguko ya kutosha ya gata ni gharama na inahitaji maarifa makubwa.

CHANGAMOTO
1. Gharama ya kujenga boma huongezeka tofauti na nyumba ya kawaida.
Sababu ya kuongezeka gharama ya ujenzi ni kutokana na ujenzi wa gata, boma kuwa refu kwenda juu na nk.
- Materials huongezeka mf. Tofali,mondo,cement nk.
-Labour charge huongezeka kwasababu ya complexity ya ujenzi wake. (HAPAHITAJI FUNDI NJAA HAPA)

2. Fundi lazima awe mbobezi. ZINGATIA HILI

3. Kuvuja. KAMA UTADHARAU KIMOJAWAPO NILICHOKUELEZA HAPO JUU. basi jua kuwa lazima nyumba Yako ivuje.

KARIBUNI SANA
0655173113
Fundi mahiri wa ujenzi
Email: pmoses@gmail.com
Ahsante.
Nani alikwambia ni gharama nafuu? Kwanza hizo nyumba huwa na madoido mengi na zinatumia Sana saruji so gharama huwa ni zaidi ya zile traditional houses.
 
Hidden roof houses ni Kama hizi hapa

View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840

View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840

Ni kweli kabisa hidden roofing hupunguza gharama ya mbao kwa zaidi ya 80% na hupunguza pia gharama ya bati kwa zaidi ya 70%.
Endapo idadi ya mbao inapopungua basi pia gharama za misumari bati na misumari mbao hupungua kwa asilimia zile zile pia.

Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa Cha mbao na bati gharama ya fundi mpauaji nayo itapungua.

NAMNA YA KUJENGA NYUMBA ZA AINA HII
1. Hidden roof maandalizi yake yanaanzia tangu pale msingi unapojengwa.
- zitaandaliwa mapema kabisa njia za kupitisha pipe za maji
- Mchoro lazima uoneshe mapokeo ya maji Toka kwenye bati (gata)
- Hidden roof jengo lake linakuwa na vikolombwezo vingi, ambavyo vinahitaji umakini mkubwa kuvijenga.
2. Gata. HII ni mifereji ya kupitisha maji inayojengwa dalini. NA HAPA NDIO PANAHITAJI UMAKINI MKUBWA SANA. ukikosea hapa utaichukia nyumba Yako mile.
Ili nyumba hii isivuje lazima paa zake ziwe ndogo ngogo, na ili paa ziwe ndogo dogo ni lazima mizunguko ya gata iwe ya kutosha. Kuweka mizunguko ya kutosha ya gata ni gharama na inahitaji maarifa makubwa.

CHANGAMOTO
1. Gharama ya kujenga boma huongezeka tofauti na nyumba ya kawaida.
Sababu ya kuongezeka gharama ya ujenzi ni kutokana na ujenzi wa gata, boma kuwa refu kwenda juu na nk.
- Materials huongezeka mf. Tofali,mondo,cement nk.
-Labour charge huongezeka kwasababu ya complexity ya ujenzi wake. (HAPAHITAJI FUNDI NJAA HAPA)

2. Fundi lazima awe mbobezi. ZINGATIA HILI

3. Kuvuja. KAMA UTADHARAU KIMOJAWAPO NILICHOKUELEZA HAPO JUU. basi jua kuwa lazima nyumba Yako ivuje.

KARIBUNI SANA
0655173113
Fundi mahiri wa ujenzi
Email: pmoses@gmail.com
Ahsante.
Gharama za paa zilizidi sana yaani....kama msingi ni 20mil paa ni 20mil...what the fvck
 
Back
Top Bottom