Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Si kweli.....paa was so over priced......bati kila mtu alitaka Nabaki Africa,then nenda uguse uone moto wake...to avoid all those,watu wanamaliza na box.....Nani alikwambia ni gharama nafuu? Kwanza hizo nyumba huwa na madoido mengi na zinatumia Sana saruji so gharama huwa ni zaidi ya zile traditional houses.
Niite nikujengee hautaona tone la majiSwala la kuvuja linanipa mashaka sana
Sahii kabisa[emoji4]Kizuri gharama. Ukienda kuijenga hii kwa mentality ya mleta mada eti upunguze gharama basi itakula kwako. ukweli ni kuwa gharama huenda ikawa kubwa zaidi kuliko hata pitch roof
Mafundi Mkishajenga zikavuja mnaingia mitini[emoji4]Niite nikujengee hautaona tone la maji
Mafundi Mkishajenga zikavuja mnaingia mitini[emoji4]
Ni Bora mtu ukatumia waffle slabs style tuu, hautumii mambao Wala bati na unapata eneo juu la kupumzikia, wenzetu wanatumia Sana waffle slabs...Mafundi Mkishajenga zikavuja mnaingia mitini[emoji4]
Ofisi yenu ipo wapi..? Niwatembelee
Acha masihara,hizo ndio nyumba zenye art moja matata Sana..Sijawahi kuzipenda hizo nyumba.
Moja ya nyumba zenye art matata Sana,ila Kamwe usije kujenga kwa vishoka au ukajatibu kubadili ramani ya kawaida iwe contemporary lazima utapuyanga na matokeo yake unaanza kulaumu eti zinavuja.Ni ujenzi wa kizembe tu ndio inapelekea hizi nyumba kuonekana changamoto ila ni ujenzi mzuri plus zina muonekano wa kisasa sana na hata finishing yake huwa inakuwa tamu sana.
ππ Fundi alipiga hesabu akimaliza kupaua nyumba ya mshikaji atamaliza kupaua na kamjengo kakeBati 224?, Ulitaka kujenga nyumba yenye ukubwa wa godown la kanda?
Hata mimi mkuu huwa naziona kama nyumba za ibada za ummah wa MuhammadSijawahi kuzipenda hizo nyumba.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bati 224?, Ulitaka kujenga nyumba yenye ukubwa wa godown la kanda?
Wabongo wanapenda kuigana sana mimi binafsi hata sioni unafuu wala uzuri wa hizo nyumba zimekaa kama dungu.Ni kujilisha TU upepo
Hamna nafuu yoyote ile,
Vinginevyo jiandae kukinga ndoo za maji
Hidden roof houses ni Kama hizi hapa
View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840
View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840
Ni kweli kabisa hidden roofing hupunguza gharama ya mbao kwa zaidi ya 80% na hupunguza pia gharama ya bati kwa zaidi ya 70%.
Endapo idadi ya mbao inapopungua basi pia gharama za misumari bati na misumari mbao hupungua kwa asilimia zile zile pia.
Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa Cha mbao na bati gharama ya fundi mpauaji nayo itapungua.
NAMNA YA KUJENGA NYUMBA ZA AINA HII
1. Hidden roof maandalizi yake yanaanzia tangu pale msingi unapojengwa.
2. Gata. HII ni mifereji ya kupitisha maji inayojengwa dalini. NA HAPA NDIO PANAHITAJI UMAKINI MKUBWA SANA. ukikosea hapa utaichukia nyumba Yako mile.
- zitaandaliwa mapema kabisa njia za kupitisha pipe za maji
- Mchoro lazima uoneshe mapokeo ya maji Toka kwenye bati (gata)
- Hidden roof jengo lake linakuwa na vikolombwezo vingi, ambavyo vinahitaji umakini mkubwa kuvijenga.
Ili nyumba hii isivuje lazima paa zake ziwe ndogo ngogo, na ili paa ziwe ndogo dogo ni lazima mizunguko ya gata iwe ya kutosha. Kuweka mizunguko ya kutosha ya gata ni gharama na inahitaji maarifa makubwa.
CHANGAMOTO
1. Gharama ya kujenga boma huongezeka tofauti na nyumba ya kawaida.
Sababu ya kuongezeka gharama ya ujenzi ni kutokana na ujenzi wa gata, boma kuwa refu kwenda juu na nk.
- Materials huongezeka mf. Tofali,mondo,cement nk.
-Labour charge huongezeka kwasababu ya complexity ya ujenzi wake. (HAPAHITAJI FUNDI NJAA HAPA)
2. Fundi lazima awe mbobezi. ZINGATIA HILI
3. Kuvuja. KAMA UTADHARAU KIMOJAWAPO NILICHOKUELEZA HAPO JUU. basi jua kuwa lazima nyumba Yako ivuje.
KARIBUNI SANA
0655173113
Fundi mahiri wa ujenzi
Email: pmoses@gmail.com
Ahsante.
Mafundi Mkishajenga zikavuja mnaingia mitini[emoji4]