Je, ni kweli nyumba mnazoziita contemporary (Hidden roof ) zinapunguza gharama ya kupaua?

Nani alikwambia ni gharama nafuu? Kwanza hizo nyumba huwa na madoido mengi na zinatumia Sana saruji so gharama huwa ni zaidi ya zile traditional houses.
Si kweli.....paa was so over priced......bati kila mtu alitaka Nabaki Africa,then nenda uguse uone moto wake...to avoid all those,watu wanamaliza na box.....

Paa was so ridiculously over priced
 
Kizuri gharama. Ukienda kuijenga hii kwa mentality ya mleta mada eti upunguze gharama basi itakula kwako. ukweli ni kuwa gharama huenda ikawa kubwa zaidi kuliko hata pitch roof
Sahii kabisa[emoji4]
 
Ni ujenzi wa kizembe tu ndio inapelekea hizi nyumba kuonekana changamoto ila ni ujenzi mzuri plus zina muonekano wa kisasa sana na hata finishing yake huwa inakuwa tamu sana.
Moja ya nyumba zenye art matata Sana,ila Kamwe usije kujenga kwa vishoka au ukajatibu kubadili ramani ya kawaida iwe contemporary lazima utapuyanga na matokeo yake unaanza kulaumu eti zinavuja.
 
Naiandaa Uzi kuhusu contemporary I hope utasaidia kuwapa wadau wanaozipenda hints chache kabla ya kuamua kuzijenga
 

Pamoja na yote hayo, bado nyumba itavuja, ingawa itategemea na umakini uliousema. Na sehemu ambazo ni critical ni kwenye muunganiko wa kuta na bati. Sababu kubwa ni weather effects. Kwamba kule juu, juwa huwa ni kali na kisha kuna vumbi na umande. Muunganiko wa mambo hayo huleta reactions ambazo husabisha tofali au Cement mortar au bati kuoza baada ya muda angalau kuanzia miaka miwili au mitatu. Kwa hiyo kama hautazingatia mambo hayo ujue kweli utaichukia nyumba yako, kwani ule unyevu kwenye ukuta( siyo lazima ivuje kwanza) ila leakage hupausha rangi, huozesha ukuta kwa ndani na kuweka mabaka au doa kubwa kwenye dari( ceiling)
 
Kinachofanya gharama ya kupaua ni bati kukatwa (kuchinjwa) na kenchi kuwa na kona kibao. Ni kweli huo ni ujenzi rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…