[emoji1][emoji1]mafundi washakula hela ya ufundi huwaoni tena
Nililala lodge yakuitwa Password, Tabata Segerea, ndani iko poa kinoma nilishangaa kuona gypsum boards zote ziko tepetepe
asubuhi natoka nachungulia juu naona ni huo mtindo wa roof, nikasema kayakanyaga
Ndio zikoje hiziNi Bora mtu ukatumia waffle slabs style tuu, hautumii mambao Wala bati na unapata eneo juu la kupumzikia, wenzetu wanatumia Sana waffle slabs...
Sasa wewe unaongelea upauaji wa mafundi wasiojua kupaua. Ukipaua inavyotakiwa bati haichimbiwi kwenye tofali wala haiwekwi mortar. Kuna chemical inaitwa synroof inapakwa, kwenye bati na ukuta vinapokutana, then kuna membrane inawekwa juu ya hiyo synroof halafu unapaka tena synroof juu yake.Pamoja na yote hayo, bado nyumba itavuja, ingawa itategemea na umakini uliousema. Na sehemu ambazo ni critical ni kwenye muunganiko wa kuta na bati. Sababu kubwa ni weather effects. Kwamba kule juu, juwa huwa ni kali na kisha kuna vumbi na umande. Muunganiko wa mambo hayo huleta reactions ambazo husabisha tofali au Cement mortar au bati kuoza baada ya muda angalau kuanzia miaka miwili au mitatu. Kwa hiyo kama hautazingatia mambo hayo ujue kweli utaichukia nyumba yako, kwani ule unyevu kwenye ukuta( siyo lazima ivuje kwanza) ila leakage hupausha rangi, huozesha ukuta kwa ndani na kuweka mabaka au doa kubwa kwenye dari( ceiling)
Paa likoje?Fundi wangu wa kupaua aliniambia "Hii nyumba ikivuja mi naacha kazi ya kupaua..!!"
Weeee..... nyumba inavuja kama vile mpo chini ya muembe dadeek 😆😆😆
Mafundi ni mafala sana
Imeisha hiyoooKuna watu wanajenga slope wanazungushia ukuta wanaita contemporary
Me nasema hizi nyumba ni fashion kama yalivyo mavazi tu.Hidden roof houses ni Kama hizi hapa
View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840
View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840
Ni kweli kabisa hidden roofing hupunguza gharama ya mbao kwa zaidi ya 80% na hupunguza pia gharama ya bati kwa zaidi ya 70%.
Endapo idadi ya mbao inapopungua basi pia gharama za misumari bati na misumari mbao hupungua kwa asilimia zile zile pia.
Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa Cha mbao na bati gharama ya fundi mpauaji nayo itapungua.
NAMNA YA KUJENGA NYUMBA ZA AINA HII
1. Hidden roof maandalizi yake yanaanzia tangu pale msingi unapojengwa.
- zitaandaliwa mapema kabisa njia za kupitisha pipe za maji
- Mchoro lazima uoneshe mapokeo ya maji Toka kwenye bati (gata)
- Hidden roof jengo lake linakuwa na vikolombwezo vingi, ambavyo vinahitaji umakini mkubwa kuvijenga.
2. Gata. HII ni mifereji ya kupitisha maji inayojengwa dalini. NA HAPA NDIO PANAHITAJI UMAKINI MKUBWA SANA. ukikosea hapa utaichukia nyumba Yako mile.
Ili nyumba hii isivuje lazima paa zake ziwe ndogo ngogo, na ili paa ziwe ndogo dogo ni lazima mizunguko ya gata iwe ya kutosha. Kuweka mizunguko ya kutosha ya gata ni gharama na inahitaji maarifa makubwa.
CHANGAMOTO
1. Gharama ya kujenga boma huongezeka tofauti na nyumba ya kawaida.
Sababu ya kuongezeka gharama ya ujenzi ni kutokana na ujenzi wa gata, boma kuwa refu kwenda juu na nk.
- Materials huongezeka mf. Tofali,mondo,cement nk.
-Labour charge huongezeka kwasababu ya complexity ya ujenzi wake. (HAPAHITAJI FUNDI NJAA HAPA)
2. Fundi lazima awe mbobezi. ZINGATIA HILI
3. Kuvuja. KAMA UTADHARAU KIMOJAWAPO NILICHOKUELEZA HAPO JUU. basi jua kuwa lazima nyumba Yako ivuje.
KARIBUNI SANA
0655173113
Fundi mahiri wa ujenzi
Email: pmoses@gmail.com
Ahsante.
Kuna watu wanajenga slope wanazungushia ukuta wanaita contemporary
Binafsi nimeona gharama zimepungua, Kuna nyumba nimejenga mahali niliambiwa na Mafundi wangehitaji Mabati 224 kuezeka lakini Kwa hiyo Contemporary roofing nimetumia Mabati 92, imagine!
Gharama ni ile ile au inaweza kuongezeka maana contemporary unapunguza gharama za mbao na mabati lakini unaongeza gharama za cement , matofali , water proofing chemical ( gallon moja ni laki mbili na nusu) na inaongeza nondo za rinta na nondo za mifereji ukizingatia bei ya nondo sasa hivi inaweza kuzidi kuliko roof ya kawaidaHidden roof houses ni Kama hizi hapa
View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840
View attachment 2387836View attachment 2387839View attachment 2387840
Ni kweli kabisa hidden roofing hupunguza gharama ya mbao kwa zaidi ya 80% na hupunguza pia gharama ya bati kwa zaidi ya 70%.
Endapo idadi ya mbao inapopungua basi pia gharama za misumari bati na misumari mbao hupungua kwa asilimia zile zile pia.
Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa Cha mbao na bati gharama ya fundi mpauaji nayo itapungua.
NAMNA YA KUJENGA NYUMBA ZA AINA HII
1. Hidden roof maandalizi yake yanaanzia tangu pale msingi unapojengwa.
- zitaandaliwa mapema kabisa njia za kupitisha pipe za maji
- Mchoro lazima uoneshe mapokeo ya maji Toka kwenye bati (gata)
- Hidden roof jengo lake linakuwa na vikolombwezo vingi, ambavyo vinahitaji umakini mkubwa kuvijenga.
2. Gata. HII ni mifereji ya kupitisha maji inayojengwa dalini. NA HAPA NDIO PANAHITAJI UMAKINI MKUBWA SANA. ukikosea hapa utaichukia nyumba Yako mile.
Ili nyumba hii isivuje lazima paa zake ziwe ndogo ngogo, na ili paa ziwe ndogo dogo ni lazima mizunguko ya gata iwe ya kutosha. Kuweka mizunguko ya kutosha ya gata ni gharama na inahitaji maarifa makubwa.
CHANGAMOTO
1. Gharama ya kujenga boma huongezeka tofauti na nyumba ya kawaida.
Sababu ya kuongezeka gharama ya ujenzi ni kutokana na ujenzi wa gata, boma kuwa refu kwenda juu na nk.
- Materials huongezeka mf. Tofali,mondo,cement nk.
-Labour charge huongezeka kwasababu ya complexity ya ujenzi wake. (HAPAHITAJI FUNDI NJAA HAPA)
2. Fundi lazima awe mbobezi. ZINGATIA HILI
3. Kuvuja. KAMA UTADHARAU KIMOJAWAPO NILICHOKUELEZA HAPO JUU. basi jua kuwa lazima nyumba Yako ivuje.
KARIBUNI SANA
0655173113
Fundi mahiri wa ujenzi
Email: pmoses@gmail.com
Ahsante.
Vipi? Huyo jirani yako alishang'oa paa zima?🤣 au kuna mchongo bado anausikilizia😀?Nna jiran yangu,
Kasema November anang'oa paa zima anarudishia mfumo wa kupaua wa kawaida.
Ikoje hiiNi Bora mtu ukatumia waffle slabs style tuu, hautumii mambao Wala bati na unapata eneo juu la kupumzikia, wenzetu wanatumia Sana waffle slabs...