Je, ni kweli Polepole na Dkt. Bashiru wamepata taarifa za kuhojiwa Kuhusu makosa ya uhujumu uchumi?

Chama kipya kitakachoundwa na ccm kwa uratibu wa Tiss! Kweli mnaamini bado kuna watu wamelala kwa hizi drama fake za CCM? Muulizeni Zito Kabwe nini kimetokea mpaka sasa.
Chama kipya ni muhimu sana sisi wamachinga tunakisubiri kwa hamu kubwa.
 
Chama kipya kitakachoundwa na ccm kwa uratibu wa Tiss! Kweli mnaamini bado kuna watu wamelala kwa hizi drama fake za CCM? Muulizeni Zito Kabwe nini kimetokea mpaka sasa.
Tatizo lako ni hofu ya chama kipya kuchukua wanachama wenu wa Chadema hakuna kingine.
 
Bashiru na Polepole hawakuwa wazalendo, bali ni watu waliofanikisha utawala wa kidhalimu wa Magufuli hapa nchini. Sasa ngoja wafanyiziwe na majizi wenzao wa CCM ndio watajua hawajui.
dala ya kuwahoji wale wahuni waliotengeneza mgao wa umeme bandia na kuingia mkataba na wahindi kuendesha tanesco na kununua 'Satellite monitoring' kwa gharama ya shilingi bilioni 70, mnaenda kuwahoji wazalendo Bashiru na HPP!
 
Bora wale wa zamani hata kama walikuwa mafisadi lakini hatukuokota wapendwa wetu kwenye viroba kama ilivyokuwa enzi za Godfather..Tena wakiendelea kupiga domodomo nao waunganishwe kwenye kesi ya ugaidi
Unaweza nitajia mpendwa wako aliyeokotwa kwenye kiroba?
 
Bashiru anawajua waliokuwa wamejimilikisha mali za chama kwa maslahi ya matumbo yao.
Hao ni zaidi ya wahujumu uchumi
Amejua tangu lini? Kujua kwake kumeisaidiaje nchi? Sasa ndio atawataja wakati hakuwataja miaka yote hiyo? Wasenger kweli kweli nyie.
 
Ni kweli waliwasumbua sana mafisadi na wahuni ila kwa sisi wanyonge tuko pamoja nao iwe mvua au jua.
Mnyonge ni ww na familia yako,mwendazake aliwaweza sana kuwaita wanyonge huku anawaumiza
 
Uongo mtupu.

Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Malizia kabisa Kwa kuandika hasa Ile kazi ya kuwanunua wapinzani na kuwarejeahea nafasi zao za awali bila kupingwa! Hakika hiyo ni kazi nzuri isiyotia shaka lakini watuambie Sasa fedha zile ziltoka kwenye kasma ipo iliyopitishwa na bunge?
 
Uongo mtupu.

Bashiru na Polepole wamefanya kazi isiyo tia shaka kwa ccm na watanzania
Wametumia pesa za serikali kununua wapinzani. Wametumia dola kuibakiza CCM kushika dola.
Kweli kazi zao hazina shaka. Ni kawaida jwa "mamluki" kufanya hivyo bila hofu.
 
Hakuna aliye msafi ccm so watamalizana wenyewe
 
Bashiru anawajua waliokuwa wamejimilikisha mali za chama kwa maslahi ya matumbo yao.
Hao ni zaidi ya wahujumu uchumi
Kama anawajua ni kwanini ripoti yake hajawahi kuziweka hadharani ili Kila mwanaccm aisome? Mwambie aiweke hapa wanaccm wamsaidie kuwaadhibu wote alioshindwa kuwaadhibu akiwa mtendaji mkuu wa ccm! Kinyume chake anastahili kubagazwa na kidhalilishwa na aliowatuhumu! Asinyamaze ajibu mapigo!
 
Mi nilisema tunahitaji chama pinzani kipya ccm mama imeshatekwa hiyo,
Ila kipo karibu, kwa Mangula kutajwa vile na fisadi bulembo, naamini sasa mpasuko wa pazia la hekalu karibu unafika chini,
Nimeshangaa sana leo, yaani Muhuni Bulembo amtaje vile mzee Mangula????
 
Tuombe Mungu mkuu, sasa ukilicheki jitu kamabulembo pale linachoongea mbele yetu wananchi ni nini zaid ya kiburi na dharau tupu,
Linaonesha taswira ya ukigogo ndani ya chama na hiyo ndio inarudisha yaleyale mambo ya ufisadi,
Afu lilivyo lipumbavu na punguani eti namzidi Polepole hela najua hana hela huyu mtoto ahahahaha senge kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…