Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ladies and gentlemen,
sijatangaza uanze kuchungulia kidevu au kichwa cha huyo kijana mwenzako hapo jirani, kama ana mvi ama la, halafu kisha uanze kumtathimini kana kwamba ni mpiga nyeto; hapana sijasema wala kumaanisha hivyo, bali nimeuliza tu, sio kwa ubaya lakini kwa wadau kwamba,
kwenye hili la kuota mvi kidevuni au kichwani kwa vijana, pamoja na sababu nyingine tele, eti kuna ukweli wowote kwamba kupiga nyeto sana ndio sababu ya msingi kwa vijana wengi vijijini na mijini, kuanzia miaka 25 kuota mvi mapema na kuonekana mababu?
yaani eti ni sawa na mbabu alie kua akifanya mapenzi kwa miaka 70 bila nyeto, sasa kwa nyeto za vijana wa sasa kwa kupiga punyeto miaka 15 mfulilizo amejikuta nae amekua sawa na Mzee wa miaka70, aliejamiiana kikawida tu kwa miaka 70,
so,
kijana wa sasa mpiga nyeto wa umri wa miaka 35, anafanana kabisa mvi na performance on bed na Mzee wa miaka70 na tena huwenda kijana mpiga nyeto akafeli 🐒
mbona zamani za kale hatukuonaga vitu hivi ndrugo zango 🐒
sijatangaza uanze kuchungulia kidevu au kichwa cha huyo kijana mwenzako hapo jirani, kama ana mvi ama la, halafu kisha uanze kumtathimini kana kwamba ni mpiga nyeto; hapana sijasema wala kumaanisha hivyo, bali nimeuliza tu, sio kwa ubaya lakini kwa wadau kwamba,
kwenye hili la kuota mvi kidevuni au kichwani kwa vijana, pamoja na sababu nyingine tele, eti kuna ukweli wowote kwamba kupiga nyeto sana ndio sababu ya msingi kwa vijana wengi vijijini na mijini, kuanzia miaka 25 kuota mvi mapema na kuonekana mababu?
yaani eti ni sawa na mbabu alie kua akifanya mapenzi kwa miaka 70 bila nyeto, sasa kwa nyeto za vijana wa sasa kwa kupiga punyeto miaka 15 mfulilizo amejikuta nae amekua sawa na Mzee wa miaka70, aliejamiiana kikawida tu kwa miaka 70,
so,
kijana wa sasa mpiga nyeto wa umri wa miaka 35, anafanana kabisa mvi na performance on bed na Mzee wa miaka70 na tena huwenda kijana mpiga nyeto akafeli 🐒
mbona zamani za kale hatukuonaga vitu hivi ndrugo zango 🐒