SumadaVinci
Senior Member
- Dec 27, 2018
- 161
- 328
huwa yanafikirisha sana mambo yanayoendelea kwenye dunia yetuHakuna cha ajabu hata kamanda wangu mpendwa Rais Hugo Chavez alikufa Dec 2012 ila akatangazwa kafa March 5 2013
Mkuu naruhusiwa kumpenda mahondaw kama dada yangu achilia mbali chura yake takatifu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]Mzee unataka ufe tuletewe Behaviourist fake kutoka Somalia?
mahondaw kuanzia leo wewe ni dada yangu na ole wako nikuite gheto ukatae kuja![emoji12]
Nimeikumbuka ile stori ya mke wa Obama, Michelle eti ni mwanaume na si mwanamke. Sijui nayo iliishia wapi!!!!!Huwa siamini hizi story za kutungwa....!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mzee unataka ufe tuletewe Behaviourist fake kutoka Somalia?