Je ni kweli Rais wa Nigeria, Buhari alishafariki toka 2017

Je ni kweli Rais wa Nigeria, Buhari alishafariki toka 2017

IMG-20201023-WA0006.jpg
 
Jana katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na habari hii huko nchini naijeria ukiachana na kile kinachondelea huko maandamano ya wananchi na SARS yao.

kuna habari nyingine nlikutana nazo zimhusuzo muhammadu buhari raisi wa nchi ya naijeria inayoeleza kwamba alishakufa mwaka 2017 nafasi yake kuchukuliwa na buhari feki toka SUDAN

JE KUNA UKWELI JUU YA HILI

WAJUVI WA MAMBO naomba mtujuze hapa


View attachment 1608027View attachment 1608029View attachment 1608030View attachment 1608032View attachment 1608033View attachment 1608034View attachment 1608035View attachment 1608036
Kma sielew elewi
 
Jamani sasa hivi watu wanafanya sana surgery, , mimi nahisi ndo sababu ya kubadilika kidogo
 
Familia yake unafikiri haijui Hilo..?

Sani Abacha aliyekuwa dikteta wa hapo Nigeria miaka ya mwishoni mwa 90 alipenda sana wanawake (kwichi kwichi) alipenda hasa ma model na wa aina hiyo,siku moja watu wake wakamletea wanawake ambao aliingia nao room wakamuua alafu watu wake wakamzika haraka bila uchunguzi na wale wanawake hawakukamatwa
 
Back
Top Bottom