Mikopo inayotolewa kwa sekta binafsi imezidi kuongezeka kutoka 7.8% mwaka 2021 hadi 22.5% mwaka 2022 pia imeongezeka zaidi hadi kufikia january 2023 imefikia 23.1%. Hii inaashiria kuimarika kwa uchumi na utendaji wa sekta binafsi unaochagizwa na sera bora za serikali ya Rais Samia Suluhu.
Lakini pia Rais Samia Suluhu anaendelea kusisitiza kushilikiana kwa sekta binafsi na serikali maana anajua kuwa sekta binafsi inachangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi na inasaidia kupunguza tatizo la ajira Tanzania.
"Maendeleo makubwa na ya haraka yanapatikana kwa kufanya kazi na sekta binafsi ya ndani na ya kimataifa. Kutambua hilo, viongozi tuhakikishe ofisi tunazoziongoza zinakuwa wezeshi na sio vikwazo kwa wafanyabiashara na wawekezaji." Alisema Rais Samia Suluhu.
Lakini pia Rais Samia Suluhu anaendelea kusisitiza kushilikiana kwa sekta binafsi na serikali maana anajua kuwa sekta binafsi inachangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa nchi na inasaidia kupunguza tatizo la ajira Tanzania.
"Maendeleo makubwa na ya haraka yanapatikana kwa kufanya kazi na sekta binafsi ya ndani na ya kimataifa. Kutambua hilo, viongozi tuhakikishe ofisi tunazoziongoza zinakuwa wezeshi na sio vikwazo kwa wafanyabiashara na wawekezaji." Alisema Rais Samia Suluhu.