Je, ni kweli Soka la kisasa limeondoa ladha ya mpira?

Je, ni kweli Soka la kisasa limeondoa ladha ya mpira?

KENGE 01

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
1,705
Reaction score
4,217
Kwa wapenzi wa mpira wa miguu,

Mwaka 2010 FIFA ilitangaza rasmi mapinduzi ya technolojia katika mpira wa miguu, hii ni baada ya Kombe la Dunia lililopigwa South Africa kwa Madiba.

Modern football inayoongelewa hapa ni baadhi ya mambo yaliyofanyiwa mabadiliko katika Sheria za Mpira wa miguu. Mfano wa Teknolojia na Sheria;
~ Sheria ya offside
~ Matumizi ya VAR
~ Sensor kwenye Mpira
~ Sheria mpya ya handball
~ Electronic Performance and Tracking Systems (EPTS)

download (1).jpeg

Lengo likiwa ni kuboresha mpira ila kwa maoni ya kenge naona kama hizi technology zimekuja kuondoa radha ya mpira kwanini?

1. Huwezi kushangilia goli bila uthibitisho wa VAR, Tofauti na zamani likifungwa goli unashangilia bila mawazo ya kukubaliwa au kukataliwa na VAR.

download (2).jpeg

2. Sheria mpya ya offside ni ngumu mno tofauti na zamani, yaani kwasasa mchezaji akizidi hata kucha au nywele (kwenye offside line) inahesabika kama Offside (Marcello katumia sana mbinu ya kujichelewesha pale Madrid ili mpinzani aingie mkenge wa offside), kwahiyo sasa wachezaji muda mwingine wanatumia kama advantage.

images (7).jpeg


3. Sheria ya Handnall imekuwa complicated sana tofauti na zamani, ukishika ni umeshika, kama ni ndani ya boksi inawekwa tuta hakuna mjadala.

download (3).jpeg

4. Sheria za Freekick hii angalau imeboreshwa kwasababu zamani Freekick ilipigwa hata ndani ya Boksi.

5. Match Fixing:
Kama ni mdau wa kubeti utakutana na site zinatoa correct score na team inaisha na matokeo yaleyale sasa unajiuliza hao walijuaje match fixing inahamasishwa na uwepo wa wimbi la kampuni za kubeti na kamari kwa ujumla, sometimes Mareta nao wanabet sana, wachezaji ndio usiseme sasa hii imeharibu mpira kwa ujumla.

Sasa kuna wakati mfano hii VAR, inakua ni tamu kama ikiwa upande wa team yako, ila ikiwa tofauti inauma sana!

Nini maoni yako? Uwepo wa Teknolojia kama VAR umeleta au kuondoa radha ya Mpira?

Cc Chief-Mkwawa ARV
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    9.5 KB · Views: 6
Well. Mada nzuri sana hii

Naomba niongeze sababu mbili zilizotoa ladha kabisa ya modern football.

Skills: To me, Mind blowing skills are what makes soccer beautiful. Mpira wa sasa kuna skills ambazo zimeanza kuonekana hazina maana kabisa au sizaki-uwana michiezo(Unsportmanship) au ni kosa kabisa .
Mfano: Showboating, mpira wa show off: Zile sijui kumpindua pindua mchezaji, Ball Spinning, sijukupanda juu ya mpira, sijui kupiga danadana wakati wa mechi sasa zinaonekana kama ni distraction katika mchezo. eg. Richarlison, Neymar, Antony ni mara kadhaa tunaona wanapigwa bechi au wakitolea sababu ya kufanya Show off au Showboating. Lakini kwa wakati wetu(Zamani) fans tulikuwa tunapenda sana haya mambo(Ladha ya Soccer) haijalishi scoreboard inasomeka ngapi ngapi.

Na taratibu za sasa showboating au skills yeyote utakayofanya kwa lengo la kumu-embarrass mchezaji wa timu pinzani basi unawezapewa adhabu ya kadi.

So zile Jay Jay Okocha moments, Ronadhinho Mind blowing skills, Kasi Flava(South Africa) hatuwezi kuzipata kwa sasa.

Mbinu za Makocha: Mpira wa sasa ni Ushindi tu. Ile sijui "Kufungwa tumefungwa ila vyenga twawala" haina nafasi katika mpira wa kisasa. Kuna moja ya nukuu pendwa mtaani kuwa na-quote " I'd rather support the team that wins trophies than a squad of full freestylers". So makocha wengi target yao ni kucheza kushinda regardless either atacheza sexy football or not. So wengi wana prefer very direct football ili apate matokeo tu. au angalia Morinho jamaa ni defence then counter attacking hapo kupata ladha sahau. Ni mara nyingi tunasikia Makocha waki-discourage possession and passing football "Sexy Football" ya Arsenal na kuonekana kama ni ujinga ujinga mtupu.

So, Long Live Sexy Football. Long Live Showboating Skills.
 
Kwa wapenzi wa mpira wa miguu,

Mwaka 2010 FIFA ilitangaza rasmi mapinduzi ya technolojia katika mpira wa miguu, hii ni baada ya Kombe la Dunia lililopigwa South Africa kwa Madiba.

Modern football inayoongelewa hapa ni baadhi ya mambo yaliyofanyiwa mabadiliko katika Sheria za Mpira wa miguu. Mfano wa Teknolojia na Sheria;
~ Sheria ya offside
~ Matumizi ya VAR
~ Sensor kwenye Mpira
~ Sheria mpya ya handball
~ Electronic Performance and Tracking Systems (EPTS)

View attachment 2558658
Lengo likiwa ni kuboresha mpira ila kwa maoni ya kenge naona kama hizi technology zimekuja kuondoa radha ya mpira kwanini?

1. Huwezi kushangilia goli bila uthibitisho wa VAR, Tofauti na zamani likifungwa goli unashangilia bila mawazo ya kukubaliwa au kukataliwa na VAR.

View attachment 2558659
2. Sheria mpya ya offside ni ngumu mno tofauti na zamani, yaani kwasasa mchezaji akizidi hata kucha au nywele (kwenye offside line) inahesabika kama Offside (Marcello katumia sana mbinu ya kujichelewesha pale Madrid ili mpinzani aingie mkenge wa offside), kwahiyo sasa wachezaji muda mwingine wanatumia kama advantage.

View attachment 2558660

3. Sheria ya Handnall imekuwa complicated sana tofauti na zamani, ukishika ni umeshika, kama ni ndani ya boksi inawekwa tuta hakuna mjadala.

View attachment 2558661
4. Sheria za Freekick hii angalau imeboreshwa kwasababu zamani Freekick ilipigwa hata ndani ya Boksi.

5. Match Fixing:
Kama ni mdau wa kubeti utakutana na site zinatoa correct score na team inaisha na matokeo yaleyale sasa unajiuliza hao walijuaje match fixing inahamasishwa na uwepo wa wimbi la kampuni za kubeti na kamari kwa ujumla, sometimes Mareta nao wanabet sana, wachezaji ndio usiseme sasa hii imeharibu mpira kwa ujumla.

Sasa kuna wakati mfano hii VAR, inakua ni tamu kama ikiwa upande wa team yako, ila ikiwa tofauti inauma sana!

Nini maoni yako? Uwepo wa Teknolojia kama VAR umeleta au kuondoa radha ya Mpira?

Cc Chief-Mkwawa ARV
Mada nzuri sana mkuu [emoji120]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Well. Mada nzuri sana hii

Naomba niongeze sababu mbili zilizotoa ladha kabisa ya modern football.

Skills: To me, Mind blowing skills are what makes soccer beautiful. Mpira wa sasa kuna skills ambazo zimeanza kuonekana hazina maana kabisa au sizaki-uwana michiezo(Unsportmanship) au ni kosa kabisa .
Mfano: Showboating, mpira wa show off: Zile sijui kumpindua pindua mchezaji, Ball Spinning, sijukupanda juu ya mpira, sijui kupiga danadana wakati wa mechi sasa zinaonekana kama ni distraction katika mchezo. eg. Richarlison, Neymar, Antony ni mara kadhaa tunaona wanapigwa bechi au wakitolea sababu ya kufanya Show off au Showboating. Lakini kwa wakati wetu(Zamani) fans tulikuwa tunapenda sana haya mambo(Ladha ya Soccer) haijalishi scoreboard inasomeka ngapi ngapi.

Na taratibu za sasa showboating au skills yeyote utakayofanya kwa lengo la kumu-embarrass mchezaji wa timu pinzani basi unawezapewa adhabu ya kadi.

So zile Jay Jay Okocha moments, Ronadhinho Mind blowing skills, Kasi Flava(South Africa) hatuwezi kuzipata kwa sasa.

Mbinu za Makocha: Mpira wa sasa ni Ushindi tu. Ile sijui "Kufungwa tumefungwa ila vyenga twawala" haina nafasi katika mpira wa kisasa. Kuna moja ya nukuu pendwa mtaani kuwa na-quote " I'd rather support the team that wins trophies than a squad of full freestylers". So makocha wengi target yao ni kucheza kushinda regardless either atacheza sexy football or not. So wengi wana prefer very direct football ili apate matokeo tu. au angalia Morinho jamaa ni defence then counter attacking hapo kupata ladha sahau. Ni mara nyingi tunasikia Makocha waki-discourage possession and passing football "Sexy Football" ya Arsenal na kuonekana kama ni ujinga ujinga mtupu.

So, Long Live Sexy Football. Long Live Showboating Skills.
Naunga mkono hoja mkuu..yaani saivi ni 1touch pasi,pasi tu ukipiga chenga unaonekana mpuuzi na unachelewesha team wakati enzi izo Messi anatoka na mpira goli to goli ni vyenga tu mpaka unataman mpira usiishe
 
Back
Top Bottom