zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
Sawa mkuuUkiwasha AC joto linaongezeka, tafuta fundi akufungie panga boy upate kipupwe
ndio zina shida ya AC toka kiwandani,hazina uwezo wa kufua baridi yakutosha......kuna jamaa alinifanyia modification pale Ilala...now kama nipo Alaska....ukihitaji nambie nikuunge naeHabari wadau
Naipenda sn hii gari ni roho ya paka na ukiitunza bila kujali kupitwa kwake na wakati utakaa nayo sn na pesa za kutaka gari nyingine ukafanyia mambo mengine,
Sasa naambiwa ina matatizo6ya AC yan haifanyi kazi vizuri ndo mana wengi wenye gari hizi hapa Town huwa wanafungua vioo all the time, ila nimeambiwa naweza nunua compressor nyingine mfano ya starlet na kuifunga na itafanya kazi poa, je ni kweli hili?
Naomba kujuzwa zaid View attachment 1607224
Huyo Fundi wa Ilala ni yule Chapozo nyuma ya soko la Ilalaboma karibu na mahamani nini? au ni kwinginendio zina shida ya AC toka kiwandani,hazina uwezo wa kufua baridi yakutosha......kuna jamaa alinifanyia modification pale Ilala...now kama nipo Alaska....ukihitaji nambie nikuunge nae
Hapana,yupo karibu na machinga cplx...EricHuyo Fundi wa Ilala ni yule Chapozo nyuma ya soko la Ilalaboma karibu na mahamani nini? au ni kwingine
sawa mkuu.Nilifikiri ni yeye maana na mimi tatizo langu la AC la muda mrefu lilitatuliwa huko huko Ilala.Nadhani Ilala mafundi wa AC hawabahatishiHapana,yupo karibu na machinga cplx...Eric
Sawa mkuu huyo Fundi alitengeneza ikafanya kazi au ilibidi ununue compressor nyingine?ndio zina shida ya AC toka kiwandani,hazina uwezo wa kufua baridi yakutosha......kuna jamaa alinifanyia modification pale Ilala...now kama nipo Alaska....ukihitaji nambie nikuunge nae
hapana,yangu alibadilisha expansion kama sijakosea,labda akute kompresa yako nayo imekufaSawa mkuu huyo Fundi alitengeneza ikafanya kazi au ilibidi ununue compressor nyingine?
kweli...wamebobeasawa mkuu.Nilifikiri ni yeye maana na mimi tatizo langu la AC la muda mrefu lilitatuliwa huko huko Ilala.Nadhani Ilala mafundi wa AC hawabahatishi
Ni kweli, shida kubwa kwa Escudo ni hiziHabari wadau
Naipenda sn hii gari ni roho ya paka na ukiitunza bila kujali kupitwa kwake na wakati utakaa nayo sn na pesa za kutaka gari nyingine ukafanyia mambo mengine,
Sasa naambiwa ina matatizo6ya AC yan haifanyi kazi vizuri ndo mana wengi wenye gari hizi hapa Town huwa wanafungua vioo all the time, ila nimeambiwa naweza nunua compressor nyingine mfano ya starlet na kuifunga na itafanya kazi poa, je ni kweli hili?
Naomba kujuzwa zaid View attachment 1607224
Tatizo lingine la hizi gari ni kuingiza vumbi ndani hata kama umeitoa Japan leo...[emoji2][emoji2][emoji2]Tatizo la nyongeza haina balance ukiendesha spidi kupinduka sekunde