zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
Habari wadau
Naipenda sn hii gari ni roho ya paka na ukiitunza bila kujali kupitwa kwake na wakati utakaa nayo sn na pesa za kutaka gari nyingine ukafanyia mambo mengine,
Sasa naambiwa ina matatizo6ya AC yan haifanyi kazi vizuri ndo mana wengi wenye gari hizi hapa Town huwa wanafungua vioo all the time, ila nimeambiwa naweza nunua compressor nyingine mfano ya starlet na kuifunga na itafanya kazi poa, je ni kweli hili?
Naomba kujuzwa zaid
Naipenda sn hii gari ni roho ya paka na ukiitunza bila kujali kupitwa kwake na wakati utakaa nayo sn na pesa za kutaka gari nyingine ukafanyia mambo mengine,
Sasa naambiwa ina matatizo6ya AC yan haifanyi kazi vizuri ndo mana wengi wenye gari hizi hapa Town huwa wanafungua vioo all the time, ila nimeambiwa naweza nunua compressor nyingine mfano ya starlet na kuifunga na itafanya kazi poa, je ni kweli hili?
Naomba kujuzwa zaid