Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wasanii wetu wa muziki wa kizazi kipya huwa hawaishiwi mambo na majambo.
Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia Q Chief akimtuhumu kwenye vyombo vya habari T.I.D kuwa ndiye anayeisiliba nyota yake ya kuwika.
Swali la kujiuliza ni hili, mbona naye T. I. D hawiki kama zamani? Je ni nani anayemroga?
Mi nadhani mchawi wao wenyewe. Kila mtu anajiroga kwa kurika na mafanikio kidogo waliyoyapata huko nyuma, wakavimbisha vichwa na kulemaa.
Sasa imeibuka damu changa ambayo iko very creative, wanamasauti hao na ma style ya kufa mtu.
Wabadilike wakaze msuli watatoka. Waache kusingizia na kupakazuiana uchawi.
Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia Q Chief akimtuhumu kwenye vyombo vya habari T.I.D kuwa ndiye anayeisiliba nyota yake ya kuwika.
Swali la kujiuliza ni hili, mbona naye T. I. D hawiki kama zamani? Je ni nani anayemroga?
Mi nadhani mchawi wao wenyewe. Kila mtu anajiroga kwa kurika na mafanikio kidogo waliyoyapata huko nyuma, wakavimbisha vichwa na kulemaa.
Sasa imeibuka damu changa ambayo iko very creative, wanamasauti hao na ma style ya kufa mtu.
Wabadilike wakaze msuli watatoka. Waache kusingizia na kupakazuiana uchawi.