FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Huko kwao hakuna tozo...Kwani hao Wazanzibar hawakatwi tozo za miamala pamoja na kodi za TRA?
Kama jibu ni ndio wanakatwa ni haki yao kulipiwa.
Muwe mnasoma na kuelewa Kwanza, anaongelea mgawanyo wa mikopo na uwiano katika kulipa hayo madeniHuko kwao hakuna tozo...
Je Kuna tozo Zanzibar?Kumekuwa na hii tabia ya kuchukua mikopo kwa ajili ya shughuli mbali mbali zinazoitwa za kimaendeleo; ila kinachoshamgaza ni jinsi mikopo hiyo inavyogawanywa kwa usawa baina ya Watanzania wa Bara na Wazanzibari as kanakwamba idadi ya Zanzibar na Bara ni sawa.
Hivi uwe na maandazi 10, halafu watu 9 uwape maandazi ma 5 na mtu mmoja umpe maandazi ma 5, yaani nusu kwa nusu. Hapo kuna usawa katika ugawaji wa maandazi hayo.
Na linapokuja kwenye suala la kuyalipia hayo maandazi, wale tisa wanatoa 90% ya malipo na yule mmoja anatoa 10% ya malipo, je, mantiki ni ipi, kwahiyo watanzania tunakamuliwa tozo kulipa madeni na riba zisizotuhusu?
Acha uongo ndugu tozo zipo palepale sote tunatumia mitandao hii hii ya simuHuko kwao hakuna tozo...
Shida huna ushahidi wowote. Uzi wako unakuwa km porojo na hisia tu. Tafuta takwimu zinazoonesha ukweli vinginevyo itaonekana chuki na ubaguzi kwa ndugu zetu wa ZanzibarKumekuwa na hii tabia ya kuchukua mikopo kwa ajili ya shughuli mbali mbali zinazoitwa za kimaendeleo; ila kinachoshamgaza ni jinsi mikopo hiyo inavyogawanywa kwa usawa baina ya Watanzania wa Bara na Wazanzibari as kanakwamba idadi ya Zanzibar na Bara ni sawa.
Hivi uwe na maandazi 10, halafu watu 9 uwape maandazi ma 5 na mtu mmoja umpe maandazi ma 5, yaani nusu kwa nusu. Hapo kuna usawa katika ugawaji wa maandazi hayo?
Na linapokuja kwenye suala la kuyalipia hayo maandazi, wale tisa wanatoa 90% ya malipo na yule mmoja anatoa 10% ya malipo, je, mantiki ni ipi, kwahiyo watanzania tunakamuliwa tozo kulipa madeni na riba zisizotuhusu?
Ni Kweli umeuliza SWALI bt swali lako linaleta NDITTA usoni, Si poa😠😠.Kumekuwa na hii tabia ya kuchukua mikopo kwa ajili ya shughuli mbali mbali zinazoitwa za kimaendeleo; ila kinachoshamgaza ni jinsi mikopo hiyo inavyogawanywa kwa usawa baina ya Watanzania wa Bara na Wazanzibari as kanakwamba idadi ya Zanzibar na Bara ni sawa.
Hivi uwe na maandazi 10, halafu watu 9 uwape maandazi ma 5 na mtu mmoja umpe maandazi ma 5, yaani nusu kwa nusu. Hapo kuna usawa katika ugawaji wa maandazi hayo?
Na linapokuja kwenye suala la kuyalipia hayo maandazi, wale tisa wanatoa 90% ya malipo na yule mmoja anatoa 10% ya malipo, je, mantiki ni ipi, kwahiyo watanzania tunakamuliwa tozo kulipa madeni na riba zisizotuhusu?