msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Hahaha,Sasa mkuu hapo utamcheka au utampa pole?Manzi yangu ana degree, aliomba kazi ya office assistant ambayo sifa ni uwe na form four na cheti cha veta cha miezi 3 office assistant.
Ajabu kaibuka na maksi za ajabu Duniani [emoji23]. Na aliniambia mtihani ulikua rahisi sana kwake.
Tra kiboko[emoji23].
Ratiba iyo haponaomba kujua wap usaili unafanyika mana sijaona sehem wameeandika kwenye tangazo
shurkran boss naona mambo yote ni dar es salamRatiba iyo hapo
Yaah kwenye cut off hazieleweki.Cut off mbona hazieleweki kuna kozi kama za custom officer cut off NI 85 wakati nyengine zimeenda Hadi 50
Mbona kila kona watu wanalalamika kumetokea nn tena?Manzi yangu ana degree, aliomba kazi ya office assistant ambayo sifa ni uwe na form four na cheti cha veta cha miezi 3 office assistant.
Ajabu kaibuka na maksi za ajabu Duniani 😂. Na aliniambia mtihani ulikua rahisi sana kwake.
Tra kiboko😂.
Inabidi wajitathimini kama taasisi.. Si kwa ubayaMbona kila kona watu wanalalamika kumetokea nn tena?
Kuna dogo analalamika nae eti kapigwa na paper kajibu uhakika !!
Mie nilidhani nitapiga 100 nimeambulia 79Siamini km aya matokeo yana uhalisia,ule mtihan maswali 3 nayajua nje ndani achana na ile multiple choice yao sikosi ata majibu 2 ya kweli kati ya 8...Matokeo sasa yanakuja nina 33 [emoji3][emoji3][emoji3]
Yaah ni dar.. MUNGU akakutangulie nafasi upate, kisitokee kikwanzo chochote.shurkran boss naona mambo yote ni dar es salam
Na bado hawajakuita oral!? Maana utumishi kwa marks izo ungeitwa oral.. Umejitaidi usikae tamaaMie nilidhani nitapiga 100 nimeambulia 79
shukran mkuu..tuombe Mungu ajalieYaah ni dar.. MUNGU akakutangulie nafasi upate, kisitokee kikwanzo chochote.
Sijaitwa kwakweli kama sio 100 I was expecting above 90Na bado hawajakuita oral!? Maana utumishi kwa marks izo ungeitwa oral.. Umejitaidi usikae tamaa
Amenshukran mkuu..tuombe Mungu ajalie
ni nafas za customs ama?Sijaitwa kwakweli kama sio 100 I was expecting above 90
Duuh.. Hakuna usawa.. Ila usivunjike moyoSijaitwa kwakweli kama sio 100 I was expecting above 90
Inategemea na Ufaulu pia hata Utumishi kuna Cutt off nyingine zinakua juu sio 50.Na bado hawajakuita oral!? Maana utumishi kwa marks izo ungeitwa oral.. Umejitaidi usikae tamaa
Yeah sijawahi fanya Pepa nyepesi kama ileni nafas za customs ama?
naona mmefauli weng sana inaonekana ilikuwa nyepes sana tofaut na tax managementYeah sijawahi fanya Pepa nyepesi kama ile
Sanaaaanaona mmefauli weng sana inaonekana ilikuwa nyepes sana tofaut na tax management
hiv customs ilikuwa inahitaji watu wangap?Yeah sijawahi fanya Pepa nyepesi kama ile
tuombe uzima nafas zitatoka tena tusichoke kujaribu tenaSanaaaa