Je, ni kweli TRA wameshaita watu kwenye ORAL INTERVIEW?

Hahaha,Sasa mkuu hapo utamcheka au utampa pole?

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Mbona kila kona watu wanalalamika kumetokea nn tena?


Kuna dogo analalamika nae eti kapigwa na paper kajibu uhakika !!
 
Siamini km aya matokeo yana uhalisia,ule mtihan maswali 3 nayajua nje ndani achana na ile multiple choice yao sikosi ata majibu 2 ya kweli kati ya 8...Matokeo sasa yanakuja nina 33 [emoji3][emoji3][emoji3]
Mie nilidhani nitapiga 100 nimeambulia 79
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…