Je, ni kweli ukimpenda lazima umuhudumie?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Kwani ni dhambi kula mbususu bila kutoa Huduma? Kazi anayo, pesa anayo ni lazima sana kumpa huduma,

Je ili huwe mwanaume wa kweli lazima utoe huduma ata kama umezidiwa kipato?



Cc Zero IQ
 
Kwani ni dhambi kula mbususu bila kutoa Huduma? Kazi anayo, pesa anayo ni lazima sana kumpa huduma,

Je ili huwe mwanaume wa kweli lazima utoe huduma ata kama umezidiwa kipato?



Cc Zero IQ
Je kama hana kipato kabisa,mfano umekutana naye hana kazi yupo kweny kutafuta,napo utahitaj huduma[emoji28]
 
Kama ni mkeo mhudumie ila kama sio mkeo acha kuingilia majukumu ya watu wengine mkuu.

Wewe kazi yako ni kumoa kile hapati na hawezi kipata kwa wazazi/walezi wake, na hakuna kingine zaidi ya mjegeje. Hizo huduma anapewa tangu anazaliwa mpaka alipofikia hiyo inadhihiriaha wazi kua wazazi/walezi wake wanaiweza hiyo kazi.
 

[emoji23][emoji23][emoji23]mjegeje
Aya bana mkuu
 
utamu tunasikia wote bhana, kwanza wanaume mabao yetu huwa ni chwa chwaa sekunde 5 kwisha.
ila wanawake nina hisi wanafaidi zaidi, maana wanavyo kojoa si fire. (wenye maji mengi lakin)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…