Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kama hana kipato kabisa,mfano umekutana naye hana kazi yupo kweny kutafuta,napo utahitaj huduma[emoji28]Kwani ni dhambi kula mbususu bila kutoa Huduma? Kazi anayo, pesa anayo ni lazima sana kumpa huduma,
Je ili huwe mwanaume wa kweli lazima utoe huduma ata kama umezidiwa kipato?
![]()
Cc Zero IQ
Kama ni mkeo mhudumie ila kama sio mkeo acha kuingilia majukumu ya watu wengine mkuu.
Wewe kazi yako ni kumoa kile hapati na hawezi kipata kwa wazazi/walezi wake, na hakuna kingine zaidi ya mjegeje. Hizo huduma anapewa tangu anazaliwa mpaka alipofikia hiyo inadhihiriaha wazi kua wazazi/walezi wake wanaiweza hiyo kazi.