msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,786
- 5,963
habari wana jamvi.?
Jamani mwenzenu nina matatzo yafuatayo mwilini mwangu:-
1.majipu madogo mapajani..
2.mafua ya mara kwa mara..
3.homa za mara kwa mara..
4.maumivu ya koo mara mara..
5.maumiv ya kchwa mara kwa mara..
Hali hii ilianza kuntokea mwaka huu mwanzon,kuna mtu akanshaur nipime ukimwi,mwez wa tano mwaka huu nkapma,nkakuta sina,nkapma tena mwezi wa 6,7,8,9,10, na mara ya mwsho kupma ni leo,lakini sina ukimwi..
SASA KUNA WATU WANADAI KUA INAWEZEKANA NINA VIRUSI VIMEJIFICHA..
WENGINE WANADAI KUNA VIPIMO FEKI SIKU HIZI,HIVO HATA KAMA NIMEPIMA MARA SITA INAWEZEKANA NINAO..
Wataalamu wa haYA MAMBO NAOMBENI MNIJUZE KAMA KUNA UKWELI WOWOTE KUHUSIANA NA JAMBO HILO.?
NA KAMA KWEL UNAJIFICHA NI KWA MDA GANI..
*****@habari ya mjini*****
Jamani mwenzenu nina matatzo yafuatayo mwilini mwangu:-
1.majipu madogo mapajani..
2.mafua ya mara kwa mara..
3.homa za mara kwa mara..
4.maumivu ya koo mara mara..
5.maumiv ya kchwa mara kwa mara..
Hali hii ilianza kuntokea mwaka huu mwanzon,kuna mtu akanshaur nipime ukimwi,mwez wa tano mwaka huu nkapma,nkakuta sina,nkapma tena mwezi wa 6,7,8,9,10, na mara ya mwsho kupma ni leo,lakini sina ukimwi..
SASA KUNA WATU WANADAI KUA INAWEZEKANA NINA VIRUSI VIMEJIFICHA..
WENGINE WANADAI KUNA VIPIMO FEKI SIKU HIZI,HIVO HATA KAMA NIMEPIMA MARA SITA INAWEZEKANA NINAO..
Wataalamu wa haYA MAMBO NAOMBENI MNIJUZE KAMA KUNA UKWELI WOWOTE KUHUSIANA NA JAMBO HILO.?
NA KAMA KWEL UNAJIFICHA NI KWA MDA GANI..
*****@habari ya mjini*****