Je ni kweli ukimwi unaweza kujificha.?

Je ni kweli ukimwi unaweza kujificha.?

...nenda hospitali ukafanye uchunguzi wa kina....kama ushapima ukimwi mara zote hizohuna inawezekana una tatizo jingine....

Wakati huo huo cheki diet yako hakikisha unakula balanced diet, matunda na maji kwa wingi....

Angalia na usafi wa mazingira unayoishi pia masaffi?
Kama ukomacho hadi saa 8-9 usiku unakuwa wapi? Bar? Mazingira ya koje? Maana kuna dalili kubwa unakuwa nichakula cha mbu, epuka kuumwa na ma-mbu...

Mazingira yako ya kazi na nyumbani pasafi? Hapana vumbi? Huna allergy na vumbi?

Huna tatizo la macho? Unaona bila shida? Maana machopia huleta kichwa kuuma

Ndio maana nilikuoa mke wa ujana wangu. Am proud of you.

Hapo unaangalia movie gani? Mmeo nshafika kibaruani nalitumikia taifa.
 
chunguza kama kuna hawaraako aliewahi kufa kwajili ya hilogonjwa pengine unaokweli ila umejificha
 
Check maradhi mengine (hepatatis B na C), kisukari, cancer vyote hivyo hushusha kinga na unakuwa prone kwa magonjwa.

Pole sana.
Muhimu angalia chakula, hasa vitamini na protein.t
 
UKIMWI si lazima uwe na HIV, UKIMWI au Upungufu wa Kinga Mwilini unaweza kusababishwa na mengi, mfano, kisukari, cancer hususan ya damu. Lishe ndogo, kifua kikuu na kadhalika nakushauri, pata dozi hapa:
HOME

Azimio jipya thanks zomba very much for such a useful post!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom